Kubwa Kuliko...!

Kubwa Kuliko...!

kunakijana alikuwa anamvimbishia msuli kondakta wa daladala
kwa kumwambia "chezea wengine sio mimi kwani mimi nipo fizikali"

 
Na hii imekaaje ?
> Ukifika tu unidipu !
> Una vocha za Nokia ?
> Kaniletee mafuta kwenye deskintebo !
> Hembu fungua ledio klauzi !
> Ukifika tu uliza Doto ndiyo kiriofu (care of)
 
nafurahi kuona wakipigana vikumbo, usikimbie tunataka kuongeza vi griti thinkaz huko.

Hivi kumbe nae ni Msukuma?

Alafu ndio kusema hinitaki huko kwenu ama? Sema niwakimbie.
 
Back
Top Bottom