Kubwa Kuliko...!

Kubwa Kuliko...!

Mwingine eti "inshu"badala ya issue yan ina irritate kichizi

Yaani inshu kweli inakera sana, yaani ndio hivyo imekuwa localised mpaka itaingia kwenye msamiati ....sijui kwanini na R na L hizo ni kubwa kuliko ........
 
Kwenye CRDB hamna neno Bank already?

Kwasasa sio cooperative rural development Bank kutokana na majukumu ya kibiashara kubadilika, hivyo imebaki kuwa CRDB Bank that's their official name.
 
Wabongo tuna kazi kwenye kutamka na kuyaandika haya maneno...

1. SIDE MIRRORS = Sight Mirrors, Site Mirror
2. HELMET = Element, Elementi, Elmet
3. FIRE EXTINGUISHER = Fire Tigisher
4. RAV 4 = Rava 4
5. AC = IC
6. MAYFAIR = MAIFEA
7. BLACKBERRY = Blackaberry, Blackbel
8. VITZ = Vitis
9. Redds = Redis

Nadhani ni matatizo ya:-
1. Pronounciation.
2. Articulation.
3. Addition.
4. Slurring of words.. And sometimes people they are not care of what they write or say even if they know the correct one(word).
 
Hehehe mi nimesikia Clouds muda sio mrefu. . . Inawezekana ikawa.

Alafu na wewe SMAILINGI SENTI usijifanye unajua sana makabila ya watu.

nimekaa kwingi na makabila mengi, nimesoma sehemu nyingi na makabila mengi, nimefanya kazi sehemu tatu na makabila mengi kuwafahamu sio ajabu.....
 
Kwasasa sio cooperative rural development Bank kutokana na majukumu ya kibiashara kubadilika, hivyo imebaki kuwa CRDB Bank that's their official name.
Asante kwa ufafanuzi Eng.
 
kuna mtu ni msomi mzuri tu lakini kutamka zimbabwe yeye hutamka zimbambwe,kufilisika anasema kufishika so kidogo inaleta taabu khs ulimi wake unakuaje?
 
Hehehe mi nimesikia Clouds muda sio mrefu. . . Inawezekana ikawa.

Alafu na wewe SMAILINGI SENTI usijifanye unajua sana makabila ya watu.
Halafu huyu smiling saint nitamlamba BAN...lol
 
@Lizzy na SS

mbona wasukuma wanamfuata huyu mtu hivi???
SS wamejanjaruka siku hizi na wao wanataka mahari kubwa.
 
Back
Top Bottom