KikulachoChako
JF-Expert Member
- Jul 21, 2013
- 18,141
- 32,853
Kwa hiyo Esther Bulaya alivuliwa chupi na kukatiwa shanga zake hadharani..???
ujinga uko wapi hapo? kama polisi waliwadhalilisha wabunge wakike wa ukawa kwa kuwafanyia kitendo vya kinyama hivyo ulitaka atumie lugha gani? hivi shanga ni tusi? chupi ni tusi? au mnaleta hoja zenu za kipumbavu tuache kujadili masuala ya msingi ya kitaifa ambayo serikali ya kinyama ya ccm inaendelea kuyafanya kule bungeni? kama hamna cha kuwafanyia wananchi semeni siyo kuwafungia kwenye cage kwa kuwadanganyia peremende. we will neither beg nor bow.Tumeona kupitia tv. Hoja za kijinga kama hizi ndizo zinazopelekea kupunguzwa muda wa matangazo ya tv
Mi katika vitu ambavyo navichukia hapa Jf ni mtu km Kubenea kuitwa mheshimiwa roho yang inasononeka kweli
Mh. Kubenea ameomba mwongozo ambao kwamba wabunge wanawake wa UKAWA waliotolewa na Polisi bungeni juzi walisachiwa na askari wa kiume, wakavuliwa chupi zao, wakavuliwa shanga zao....
Wakati akiendelea walilipuka wabunge wanawake kwa makelele ya kudai kudhalilishwa. Spika ilibidi amkatize...
Najiuliza, hivi Kubenea anafikiri sawa sawa kweli?
Ali2mia tafsida bhana..alisema nguo za ndani!ila me sioni kma kuna udhalilishaji wowote kama alichoongea kina ukweli..Cha ajabu nini apo au kusema CHUPI... Naichukia sana ccm Pamoja na magufuli
Duh!!Kwa hiyo Esther Bulaya alivuliwa chupi na kukatiwa shanga zake hadharani..???
Na pichu zinavaliwa wapi?Kwani shanga hazivaliwai mikononi?
chenge kaiokoa serikali .Andrew Change naona amefanya kosa kubwa la technicians kwenye ule mwongozo wa Mh Kubenea. Nadhani palr kubenea aliposema wanaweka walidharirishwa na kuvuliwa nguo za Ndani ilitakiwa Mh Kubenea alithibitishie bunge ni nani haoili kusaidia uchunguzi wa ukiukwaji wa haki za binadam.
kimsingi kubenea hata ukimtazama tu,unajua huyu mtu kichwan kwake kuna moto,anaongea kama anakula ugali wa moto,kajaa papara na si mtu wa kufikiri kabla ya kutoa neno kinywani..elimu ya hapa na paleSasa hoja yako ipo wapi hapo ebu toa maelezo ya kueleweka, niliempa kura nimetulia we unabwaja tu,,hiyo kura ulipgia wp kama sio nyie mliokua mnapita usiku kutugawia hela za masaburi
Aaah bora nape huyu kubenea wa std 7Kazi kwako sasa kuchagua kati ya Kubenea na Nape
Unajiona umeongea point kumbe pumba.. Sasa mtu unaweza kumtaja mtesaji wakati humjui?Kutaja ni jambo moja lakini ukweli wa ulichotaja au kusema ni jambo jingine. Uwe makini na hoja yako, usitoneshe vidonda vilivyokauka. Soma sheria (Tanzania Intelligence and Security Service Act, 1996) uone madhara ya kusemasema hovyo au kutaja ovyo majina ya watu wa security.
Mh. Kubenea ameomba mwongozo ambao kwamba wabunge wanawake wa UKAWA waliotolewa na Polisi bungeni juzi walisachiwa na askari wa kiume, wakavuliwa chupi zao, wakavuliwa shanga zao....
Wakati akiendelea walilipuka wabunge wanawake kwa makelele ya kudai kudhalilishwa. Spika ilibidi amkatize...
Najiuliza, hivi Kubenea anafikiri sawa sawa kweli?
Kuna tofauti kubwa kati ya Nyerere na NyenyereEnzi za uhai wake Nyerere hakuwahi kuwa na umbea kama huu unaouandika!
Kuna tofauti kubwa kati ya Nyerere na Nyenyere
si walisema watakuwa wanachagua vikao...huenda wamekichagua hiki
Sijawahi kufua lakini ninauhakika wanavaa.Samahani kwa swali hili; umewahi kufua vyupi vya wazazi wako?