Bunge linaoneshwa live kila siku asubuh since day one mchana ndo halioneshwi live, watu wengi walikurupuka kulalamika hata bunge hawaangaliiBunge linarushwa LIVE. Yale maamuzi yalikuwa ya Nape peke yake. Kumbe hakumshirikisha hata Magufuli.
Bunge linaoneshwa live kila siku asubuh since day one mchana ndo halioneshwi live, watu wengi walikurupuka kulalamika hata bunge hawaangaliiBunge linarushwa LIVE. Yale maamuzi yalikuwa ya Nape peke yake. Kumbe hakumshirikisha hata Magufuli.
hahaa! Kubenea katishaKusema wamevaa shanga ni dhambi?Kwani hawavai shanga?
Mkuu a cha kudhalilisha ngedere kwa kuwafananisha na nyenyerehah ahaa Ahsante Mkuu kwa kunisahihisha. Kumbe huyu ni Nyenyere na ndio maana anawaza kama Ngedere vile!
Kama kweli hii nitawadharau wabunge wanawake wa UKAWA. Nilitegemea wabunge hawa wangewasilisha kwenye umoja wa wabunge wanawake lakini pia wangepelea moja kwa moja kwa Spika. Wameshindwa kujitetea wao wenyewe, sasa watawatetea vipi wananchi wanasema wanawawakilisha? Au nako wataomba msaada wa Kubenea na wanaume wengine bungeni? Stupid!
Nyenyere,
..this is how to deal with this issue.
..kwanza, Kubenea apewe onyo kwa kutumia lugha isiyofaa bungeni.
..halafu, Spika aunde kamati ya wabunge kuchunguza madai ya udhalilishwaji wa wabunge wanawake wa ukawa.
.........hata Richmondi alisema kweli ni ya Lowassa, Rais wa UKAWA !KUBENEA HAJAWAHI KUDANGANYA NA HADANGANYI
Akubali tu kwamba anahitaji mda kujifunza, akitulia akajifunza anaweza kuwa mbuge mzuri. Kujenga hoja ni taaluma kama vile kuongea mbele za watu, kuandika habari ikavutia watu ilivyo taaluma.
Ninapenda kuiita SPADE a SPADE,ni sawa na kusema anashtaki kwa kosa la KUBAKWA unakuja kusema KUBAKWA ni matusi duh!!!!!!Ifike mahali tuukubali ukweli kama ulivyo hata kama hatupendi kuusikia masikioni lakini ndiyo ukweli wenyewe
Hivi ina maana CHADEMA walikosa kabisa mtu wa kumsimamisha kugombea ubunge pale Ubungo mpaka wakamsimamisha Kubenea?
..I understand your point.
..tatizo ni wana-ccm mle ndani ya bunge.
..wanajaribu kila njia kuhakikisha kwamba hoja za wapinzani zinakwama.
..ni kwa kuzingatia ukweli huo ndiyo maana nikapendekeza Kubenea awe mwangalifu na lugha anayotumia.
pengine. who knows.Hana tofauti na Nape
Kula ndimuMi katika vitu ambavyo navichukia hapa Jf ni mtu km Kubenea kuitwa mheshimiwa roho yang inasononeka kweli
Ushapu..liwa sio bure......unategemea nini toka kwa watu wa elimu ya hapa na pale, wazushi, waongo, mbayuwayu, na "shoga" wa ukweli ?... na usisahau wapendwa wake wakituaminisha kwamba ati yeye ( saeed ) ni zaidi ya zzk.....
Kamuulize mama ako mzazi kama kavaa shanga halaf ndo utajua ni urembo au vipiNaona shoza na yeye katumwa huku ,atujuze .Labda nimulize shoza kana udhalilishaji gan kutumia neno shanga na chupi wanawake wa kiafrika hupenda kuvaa shanga kama urembo ,na hukaa ndan ya nguo zao ,ila askari wakazishika na kuzivua je hiyo ni haki ??
Aibu yako.ujinga uko wapi hapo? kama polisi waliwadhalilisha wabunge wakike wa ukawa kwa kuwafanyia kitendo vya kinyama hivyo ulitaka atumie lugha gani? hivi shanga ni tusi? chupi ni tusi? au mnaleta hoja zenu za kipumbavu tuache kujadili masuala ya msingi ya kitaifa ambayo serikali ya kinyama ya ccm inaendelea kuyafanya kule bungeni? kama hamna cha kuwafanyia wananchi semeni siyo kuwafungia kwenye cage kwa kuwadanganyia peremende. we will neither beg nor bow.