maumi kweupe
Member
- Dec 9, 2015
- 14
- 1
Namtabiria Kubeana atazikunja ngumi nje au ndani ya Bunge maana kesha panic baada ya Chama chake kukumbatia Fisadi wakati akijua kuwa yeye alikuwa mstari wa mbele kuuaminisha umma!!
Hata kipindi anayaandika hayo alibezwa mbona....so usitumie joho la kusema aliuaminisha umma wakati huo hukuamini....cha msingi tukomae na maisha tutoke hizi mambo za mabishano mitandaoni hazitusaidii chochote...