Hute
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 6,537
- 6,479
hapo kwenye red, unaposema naongozwa na hisia kama mwanamke kwenye mapenzi,..ujue umemjumuisha na mamako aliyekuzaaa, na yeye ana hisia akiwa anagegedwa na wanaume ndio maana akapigwa bao wewe ukazaliwa. na si ajabu mimi nilishamgegeda mamako mabao kibao tu ndio maana ukatokea. rejea ripoti ya mkemia mkuu....Mkuu wa wilaya ndo rais wa wilaya. Wapi hujaelewa au unaongozwa na hisia zaidi kama mwanamke ktk mapenzi. Mbunge ni mwakilishi wa wananchi tu tena bungeni. Na ndo maana hawezi kushtakiwa kwa lolote atakalosema akiwa bungeni. Nje na hapo ni raia kama raia wengine.
Kumbuka tu kuwa kuna tofaut kubwa kati ya mawazo yako hayo na sheria inavosema. So jitahidi kutofautisha kati ya mwakilishi wa wananchi bungeni na mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama wa wilaya. Vyombo vyote vya usalama wilaya vipo chini yake na ndo maana anaweza kutoa amri ya kukuweka ndani na ukawekwa. Mbunge hana mamlaka hayo.
Jaribu kutumia akili kuelewa mambo usifuate mkumbo.
tukija kwenye huo urais,...kwahiyo ni rais wa wilaya ya nani, wilaya yangu au wilaya yako...kama sio rais wa wilaya yangu, mimi ananihusu nini?