Kubenea muombe radhi Makonda

Kubenea muombe radhi Makonda

Kuhusu hoja ya Kubenea kumwomba radhi Makonda baada ya kutokea kwene gazeti la Kubenea akimfunga viatu Riz1 haina Mashiko.

Kama habari hiyo ni ya uongo basi Makonda na Riz1 wawahi Mahakamani gazeti la Kubenea lishtakiwe kwa kuandika habari za
uongo!
Lakini nijuavyo hii habari ni ya kweli.Siku hizi kuna teknolojia za Smartphone hivo picha kama hizo zinachukuliwa saa yoyote mahali promote.Kwa vile watu aina ya Makonda wenye kujikomba na kujipendekeza ili wapewe vyeo siwezi kushangaa!
 
Kwa hiyo aombe radhi ionekane kwamba ukuu wa wilaya wa Makonda ulitokea karibu....?
 
kiukweli kuna viongozi wengine tumewachagua lakini sasahivi tunajuta...ubungo tulichemsha na kila mtu analijua hilo...

endeleeni kuisoma namba maana mlimchagua kwa ushabiki
 
makonda ndio nani? ana nini cha kuombwa msamaha, kwangu mimi ninayeishi moshi au mwanza, makonda ananihusu nini hata kumsikia tu masikioni naona nimepoteza muda bora ningesikiliza hata muziki wa hiphop tu. zaidi ya yote, kulingana na historia ya maisha yake tangu aingine kwenye siasa, ningekuwa magufuli makonda angekuwa mtu wa kwanza kufuta kwenye ulimwengu wa siasa, nisimsikie kabisa. ni moja wapo wa watu ambao hata kamanilikuwa naangalia tv wakitokea nabadilisha channel haraka kwasababu sioni kama anastahili kuwepo pale alipo. hasa nikikumbuka kilichotokea siku ile kwa warioba, na uamfia wa aina hiyo alioufanya. pili, makonda mkuu wa wilaya na mbunge wa bunge la jamhuri ya muungano wa tz hivi nani anastahili heshima?
Bavicha mna kazi
 
Sead Kubenea amuombe radhi Makonda baada ya Mh Ridhiwan kukanusha habari na kutoa picha kwamba Makonda alimfunga kamba Ridhiwan ili apewe ukuu wa wilaya.

Ni jambo la kusikitisha kiongozi uliyechaguliwa na wananchi unatoa habari za uongo ili kufurahisha nafsi yako na kumchafua kiongozi mwenzio sababu eti mmepishana katika siasa.

nia aibu sana jirekebishe umeishakuwa ni kiongozi unaewakilisha wananchi katika jimbo
wananchi watashindwa kukuamini badilika Mheshimiwa.

Makonda ndiyo anatakiwa amuombe radhi kubenea
 
Sead Kubenea amuombe radhi Makonda baada ya Mh Ridhiwan kukanusha habari na kutoa picha kwamba Makonda alimfunga kamba Ridhiwan ili apewe ukuu wa wilaya.

Ni jambo la kusikitisha kiongozi uliyechaguliwa na wananchi unatoa habari za uongo ili kufurahisha nafsi yako na kumchafua kiongozi mw<script id="gpt-impl-0.7554018730297685" src="http://partner.googleadservices.com/gpt/pubads_impl_78.js"></script>enzio sababu eti mmepishana katika siasa.

nia aibu sana jirekebishe umeishakuwa ni kiongozi unaewakilisha wananchi katika jimbo
wananchi watashindwa kukuamini badilika Mheshimiwa.

Ubungo wana hasara. Mbunge mzushi na mpenda fitna na majungu ndio maana kwao walimkataa akakimbilia ubungo.
 
Sead Kubenea amuombe radhi Makonda baada ya Mh Ridhiwan kukanusha habari na kutoa picha kwamba Makonda alimfunga kamba Ridhiwan ili apewe ukuu wa wilaya.

Ni jambo la kusikitisha kiongozi uliyechaguliwa na wananchi unatoa habari za uongo ili kufurahisha nafsi yako na kumchafua kiongozi mwenzio sababu eti mmepishana katika siasa.

nia aibu sana jirekebishe umeishakuwa ni kiongozi unaewakilisha wananchi katika jimbo
wananchi watashindwa kukuamini badilika Mheshimiwa.

makonda hana tofauti na watoto wa mtaani chokoraa aliyeokota pochi ya mzungu,yule hata kijiji hana sifa ya kukiongoza sembuse wilaya,nchi hi haiwezi kuwa na maendeleo kwa akili za mtoa mada mlamba makamasi ya makonda na makonda mfunga viatu vya rizwani
 
Wenye makontena watuombe radhi watanzania kwa kutusababishia umasikini na Mkwere wao.Kubenea yuko sahihi.mbona Makonda hajamuomba radhi Warioba?pumba kabisa wewe mtoa mada.Punguani mkubwa.
 
makonda hana tofauti na watoto wa mtaani chokoraa aliyeokota pochi ya mzungu,yule hata kijiji hana sifa ya kukiongoza sembuse wilaya,nchi hi haiwezi kuwa na maendeleo kwa akili za mtoa mada mlamba makamasi ya makonda na makonda mfunga viatu vya rizwani

Pangua ya wakuu wa wilaya haimwachi.
 
Sijaelewa, kwa hiyo ile picha ilitengenezwa ina maana sio ya kweli??!

Kinachokanushwa ni picha au kuvalishwa viatu?

Aliyekuwa akimvalisha viatu Ridhiwani sio Makonda kama picha zilivyoelezea ktk gazeti fulani.
Yamekanushwa na Rizmoko.
 
Sead Kubenea amuombe radhi Makonda baada ya Mh Ridhiwan kukanusha habari na kutoa picha kwamba Makonda alimfunga kamba Ridhiwan ili apewe ukuu wa wilaya.

Ni jambo la kusikitisha kiongozi uliyechaguliwa na wananchi unatoa habari za uongo ili kufurahisha nafsi yako na kumchafua kiongozi mwenzio sababu eti mmepishana katika siasa.

nia aibu sana jirekebishe umeishakuwa ni kiongozi unaewakilisha wananchi katika jimbo
wananchi watashindwa kukuamini badilika Mheshimiwa.

Tumia akili na Macho yako
Usiwe Mtumwa na mtu wa kushikiwa akili.
Je unamfahamu Makonda ?
Je ile Picha ni yeye ama sio Yeye ?
Je ile Nyingine kambeba Mokorizi ni yeye ama sio yeye ?
 
Back
Top Bottom