KikulachoChako
JF-Expert Member
- Jul 21, 2013
- 18,143
- 32,888
Wakuu hebu tuwekeni ushabiki wa kisiasa pembeni......kutumia lugha chafu kwa mtu kama mbunge sio jambo lenye kupendeza.....kitendo alichokifanya bwana kubenea kumuita mkuu wa wilaya kuwa ni kibaka tena mbele ya wananchi ni kitendo cha kufedhehesha na kudhalilisha......hii inaonyesha ni jinsi gani waheshimiwa wetu wasivyo na hekima........hata hawafikirii kabla ya kutenda.......ninaamini kabisa kama utatenganisha chuki za kisiasa na kuuangalia uhalisia utagundua kuwa alichokifanya kubenea sio sahihi....