Kubenea apandishwa Mahakamani leo

Wakuu hebu tuwekeni ushabiki wa kisiasa pembeni......kutumia lugha chafu kwa mtu kama mbunge sio jambo lenye kupendeza.....kitendo alichokifanya bwana kubenea kumuita mkuu wa wilaya kuwa ni kibaka tena mbele ya wananchi ni kitendo cha kufedhehesha na kudhalilisha......hii inaonyesha ni jinsi gani waheshimiwa wetu wasivyo na hekima........hata hawafikirii kabla ya kutenda.......ninaamini kabisa kama utatenganisha chuki za kisiasa na kuuangalia uhalisia utagundua kuwa alichokifanya kubenea sio sahihi....
 
wastage of resources, misallocation of resources! rubbish! what kind of leaders we have? ovyo kabisa!

Jazba kama kubenea! chimbeni mashimo mjifukie wenyewe. Mmeambiwa serikali ipo, na serikali ni ya John Pombe Magufuli. Vimisamiati vyenu pelekeni shule za kata huko ndiko watavishangaa
 
Mbunge wa Ubungo, Saed Kubenea anafikishwa mahakamani Kisutu muda huu.

Huku ni kuiongezea mahakama mrundikano wa kesi zisizo na kichwa wala miguu.

Kwa mtindo huu lazima Makonda ajitafakari mara mbili mbili

=============

UPDATES;

Mbunge wa jimbo Ubungo kupitia Chadema, Saed Kubenea amepandishwa kizimbani kortini Kisutu, jijini Dar es Salaam leo na kusomewa shtaka la kutoa lugha chafu dhidi ya Mkuu wa wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda.Hata hivyo, Kubenea amekana kufanya kitendo hicho na kesi yake kuahirishwa hadi Desema 29, mwaka huu.

Aachiwa kwa dhamana.

Mbona Makonda alivyo mpiga Warioba hakukamatwa na polisi wala kupandishwa kizimbani?
 
It is becoming more obvious day by day kwamba Mradi wa Makonda ulilenga kufanikisha mambo makuu yafuatayo:

1. Kuzima mvuto wa wagombea funali fulani - Urais CCM 2015.
2. Kurudisha imani ya vijana kwa chama cha mapinduzi kupitia ujumbe wake Bunge la Katiba.

Katika haya yote, hakufaulu. Lakini juhudi zake zikapelekea kupewa zawadi ya Ukuu wa Wilaya ya Kinondoni. Inaonekana kwamba uteuzi huo ulilenga kufanikisha jambo lingine - nalo ni kurudisha imani ya Vijana kwa CCM katika jiji la DSM, lakini hasa Kinondoni ambayo ndio wilaya namba moja Tanzania. Lakini tofauti na ilivyotarajiwa, katika mradi huu pia amefeli. Pamoja na jitihada za CCM kugawanya jimbo la ubungo na pia juhudi za Makonda kubuni njia mbalimbali za kushawishi wapiga kura vijana waiunge mkono CCM, Chini ya makonda, CCM imeingia hasara zaidi:

1. Jimbo pekee la CCM Wilaya ya Kinondoni (Jimbo la Kinondoni) limepokonywa na UKAWA chini ya Makonda.
2. CCM imeshindwa kurudisha majimbo iliyopoteza 2010 (Kawe na Ubungo).
3. Mbaya zaidi, hata jimbo jipya lililotengenezwa na CCM (Kibamba), nalo limeenda UKAWA.

Kwa hali hii, Makonda hana tena political legitimacy Kinondoni. Alichobakia nacho ni political authority kupitia. Mamlaka haya haijabadilika tangia ukuloni.

Makonda anatakiwa aelewe kwamba Political Authority pekee yake haiwezi kumsaidia kutatua changamoto husika bila ya kuwa pia na Political Legitimacy.

Alichokifanya kwa Mbunge wa Ubungo (Chadema) ni matumizi mabaya ya madaraka. Ni kitendo cha aibu na ni liability kisiasa kwa CCM.

Mkuu tathimini safi !
Ila umesahau jambo mmoja-kuwa Makonda kwa sasa anajaribu kujionyesha kuwa anaweza kwenda na kasi ya Hapa Kazi tu-kabla panga pangua ya Madc-haijaanza kutimua vumbi!.
Na namna mmoja wapo ndiyo hiyo ya kuwashughulikia wapinzani!. Na hii ndiyo kazi hasa ya Madc inayoonekana wakifanya kwa ufasaha kuliko shida za wananchi.

 
Eti lugha chafu, hivi huyu makondaa kasahau alivyomtukanaga lowasa? Kumbe mkuki kwa nguruwe eeeeh
 
Watu Kama Kubenea Ndo Dawa Yao Hii. Wajue Kwamba Serikali Ipo Na Wawe Na Didhamu Kwa Mamlaka Za Kiutawala. Big-up Makonda
 
Imeniuma saana mbunge wangu kusekwa ndani.hivi huyu mbona anatumia madaraka vibaya
 
Mbunge wa Ubungo, Saed Kubenea anafikishwa mahakamani Kisutu muda huu.

Huku ni kuiongezea mahakama mrundikano wa kesi zisizo na kichwa wala miguu.

Kwa mtindo huu lazima Makonda ajitafakari mara mbili mbili

=============

UPDATES;

Mbunge wa jimbo Ubungo kupitia Chadema, Saed Kubenea amepandishwa kizimbani kortini Kisutu, jijini Dar es Salaam leo na kusomewa shtaka la kutoa lugha chafu dhidi ya Mkuu wa wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda.Hata hivyo, Kubenea amekana kufanya kitendo hicho na kesi yake kuahirishwa hadi Desema 29, mwaka huu.

Aachiwa kwa dhamana.

mizimu ya kumpiga yule mbabu wa watu asiyekuwa na hatia bado yanamwandama enhee?
 
Inaelekea CDM wamepata Lema mwingine. Suala la maendeleo jimboni kwake sio kipaumbele. La maana kwake ni media attention!
Ni wonder ni " mhandishi" wa habari.
 
Mbunge wa Ubungo, Saed Kubenea anafikishwa mahakamani Kisutu muda huu.

Huku ni kuiongezea mahakama mrundikano wa kesi zisizo na kichwa wala miguu.

Kwa mtindo huu lazima Makonda ajitafakari mara mbili mbili

=============

UPDATES;

Mbunge wa jimbo Ubungo kupitia Chadema, Saed Kubenea amepandishwa kizimbani kortini Kisutu, jijini Dar es Salaam leo na kusomewa shtaka la kutoa lugha chafu dhidi ya Mkuu wa wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda.Hata hivyo, Kubenea amekana kufanya kitendo hicho na kesi yake kuahirishwa hadi Desema 29, mwaka huu.

Aachiwa kwa dhamana.

Gharama za kuendesha kesi ni ya walipa kodi enhee? mh. Rais angalia watendaji wako hawana leadership skills. Wanajikosha ili waendelee kupewa nafasi. alianza kwa kumfunga Ritz viatu, akampiga babu, kaweka watumishi wa ardhi lock up na sasa amemshitaki mh. Mbunge.
 
Mbunge wa Ubungo, Saed Kubenea anafikishwa mahakamani Kisutu muda huu.

Huku ni kuiongezea mahakama mrundikano wa kesi zisizo na kichwa wala miguu.

Kwa mtindo huu lazima Makonda ajitafakari mara mbili mbili

=============

UPDATES;

Mbunge wa jimbo Ubungo kupitia Chadema, Saed Kubenea amepandishwa kizimbani kortini Kisutu, jijini Dar es Salaam leo na kusomewa shtaka la kutoa lugha chafu dhidi ya Mkuu wa wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda.Hata hivyo, Kubenea amekana kufanya kitendo hicho na kesi yake kuahirishwa hadi Desema 29, mwaka huu.

Aachiwa kwa dhamana.

Huo muda ungelekezwa kwa wakwepa kodi, kuzoa taka za mh. Magu zilizokusanywa bila kuzolewa kwa wiki nzima sasa
 
mizimu ya kumpiga yule mbabu wa watu asiyekuwa na hatia bado yanamwandama enhee?

Babu mwenyewe ashajishushia hadhi hivyo hana muzimu wowote, nadhani huu ni mzimu wa raia ambao hawakufurahia kile kitendo
 
Inaelekea CDM wamepata Lema mwingine. Suala la maendeleo jimboni kwake sio kipaumbele. La maana kwake ni media attention!
Ni wonder ni " mhandishi" wa habari.

Ukiandika utumbo lazima utaandika hovyo tu
 
Mkuu wa Wilaya ya Ilala na Mkuu wa Wilaya yaTemeke hawapo? Sijawahi kuwasikia
 
Back
Top Bottom