Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,373
- 217,432
Leo 19/10/2022 , Rufaa ya maombi ya Jinai iliyokatwa na Mbunge wa zamani wa Ubungo , Saed Kubenea dhidi ya aliyewahi kuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam , Paulo Makonda , IMEANZA KUSIKILIZWA .
Kubenea anakata rufaa kupinga kunyimwa kibali na DPP cha kumburuza Mahakamani Makonda kwa makosa ya Matumizi mabaya ya madaraka, ikiwemo , unyang'anyi, uporaji na uvamizi, ukiwemo uvamizi wa Studio za Clouds media akiwa na mitutu ya bunduki.
Rufaa hiyo inasikilizwa na Jaji Elinaza Luvanda , huku Kubenea akiwakilishwa na wakili Hekima Mwasipu na Makonda anawakilishwa na Goodchance Reginald, ambapo kesi hiyo imeahirishwa hadi 17 Novemba 2022
Chanzo: Mwananchi
Kubenea anakata rufaa kupinga kunyimwa kibali na DPP cha kumburuza Mahakamani Makonda kwa makosa ya Matumizi mabaya ya madaraka, ikiwemo , unyang'anyi, uporaji na uvamizi, ukiwemo uvamizi wa Studio za Clouds media akiwa na mitutu ya bunduki.
Rufaa hiyo inasikilizwa na Jaji Elinaza Luvanda , huku Kubenea akiwakilishwa na wakili Hekima Mwasipu na Makonda anawakilishwa na Goodchance Reginald, ambapo kesi hiyo imeahirishwa hadi 17 Novemba 2022
Chanzo: Mwananchi