Nyenyere
JF-Expert Member
- Sep 9, 2010
- 14,842
- 10,765
Kalamu ya Kubenea inatumika kusafisha mafisadi. Mwongo na mzushi mkubwa huyu. Anapaswa kujitokeza hadharani kutuomba radhi watanzania kwa kwa uongo aliotuaminisha kwa miaka mingiAlipomzaba kibao Warioba Mahakama zipi zilimfunga? Kalamu ya Kubenea si ndo inamsaisia Magufuli kumulika TRA?TPA na kwingineko Mkuu? tumia bongo kufikiri, achana na mambo ya ccm mbele kwa mbele!