Fimbo ya Musa
Member
- Jul 21, 2012
- 94
- 13
Jamani leo nilikuwa kwenye kikao na nikawa nimebanwa sana na mkojo. Ikabidi kwa kujikaza nikatoka nje huku nikijishikashika sehemu za siri na kufungua mlango uliokuwa unasumbua kufunguka!. Chakushangaza katika harakati hizo kumbe pembeni kuna wadada wawili wananichabo! Baada ya kugundua wananichabo ile hali ya kubanwa na mkojo ikaisha hapohapo! Mweee!!!