Kubaka kwa style hii ni kosa?

Kubaka kwa style hii ni kosa?

ha haaaa, mdogo wangu snowhite kama umemshinda basi wewe kiboko.....
Ila sasa shosti ungetuambia toka mwanzo kwamba ni yule yule wa mwanzo, wenzio si tulidhani penzi jipya?
msalimu sana soul mate...... mu-enjoy hii weekend

ahaahhahahhah hujawahi kupotea imani na mimi!
sidhani kama hapa imekuwa ya kwanza!
 
  • Thanks
Reactions: BAK
hahahahahaaaaaaa jamanii kumbeeeee.......!!! ndio maana walikuwa wananishikia bangoo loooh hehehehehehehehh!!!
Mie nlijua wamenielewa laaaah!! Soul mate hajambo mwaya ananipet pet tuu na wik end hii kwetu mvua inanyesha yaani hapa full kujifunika mablanketi.
Salamu zimefika nawe wik end njema mwaya.
my wee ile kesi ilikuwa nyepesi sana ujue!
cc EMT
 
Last edited by a moderator:
Ukisoma msitari kwa msitari ni kwamba hg anamtaka jamaa, ila jamaa anmuheshimu mkewe.

Nahisi huyu mama ana miradi ya nje!
Yaani hg ndo anamtaka baba mwenye nyumba? Ha haaaa, tuliwahi kulizungumzia hili zamaniiiiiii..... Baba mwenye nyumba kujaribiwa kutongozwa na hg kunamaanisha nini vile Dark City, The Boss....?
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: BAK
Watu wengine wanajipa tabu sana
'
Ndoa ni burudani,kama imegeuka karaha ya nini ung'ng'anie?
'
Mtu na raha zake anaamua kukunyima haki yako ya msingi halafu hujui la kufanya?
'
Kuna mamilioni ya wanawake waadilifu wanahitaji ndoa unamng'ang'ania asieitaka wa nini?
 
Yaani hg ndo anamtaka baba mwenye nyumba? Ha haaaa, tuliwahi kulizungumzia hili zamaniiiiiii..... Baba mwenye nyumba kujaribiwa kutongozwa na hg kunamaanisha nini vile Dark City, The Boss....?
unataka kusema hawa ndo wazoefu wa kutongozwa na mahg!
(dada mkubwa nimejificha nyuma yako ujue!)uuuwih ngoja waje!:tape2:
 
Huyo jamaa atakuwa na ajenda binafsi na H. girl wake, kwan huwezi linganisha kati ya mke na H. girl. Mm naona ni vyema akae vizuri na mkewe ajue nn chanzo, wasuluhishe yaishe maana yawezekana kuna kosa kamfanyia mkewe.
 
je wanamaahusiajo mabaya? katika masuala mengine? pengine kuna jambo limemtokea mke hivyo anatumia kuchokka kama excuse....hiyo ni clue kubwa jamaa afanye uchunguzi pengine kapata mwingine? kagundua yeye si salama n.k.

kwa kifupi achukulie kwa umakini bila papara kwa sasa anaweza kuipotezea hiyo huduma yani kum'ignore pengine reverse psychology itafanya kazi.
 
Niwape experience ya mwanaume mmoja ambaye anakaa Dar ila alioa mwanamke wa Mbeya. Kilichotokea ni kwamba walipooana kwa ndoa mke hakutaka kumhudumia mumewe kabisaa hadi ukatimia mwaka! Mume aliafanya kila jitihada akashindwa. Lakini hakumbaka!Kwa hiyo alifanyaje? Mwaka ulipoisha bila mkewe kumpa keki,jamaa akamwambia mkewe waende Mbeya kuwasalimia wazazi (yaani wakwe wa mwanaume) huku mume akiwa na shangwe kabisa. Mke kafurahi huyo usipime! Safari ikapangwa kisha muda ukafika haoo...Mbeya kwa wazazi wa mke. Walipofika walikaribishwa kwa shangwe wakapewa huduma zote anazostahili mgeni. Hatimaye ukafika wakati wa kuharibu hali ya hewa! Mume akawaambia wakwe kuwa ana maongezi nao. Wakakaa mkao wa kula! Mume akapasua live kuhusu hali ya ndoa yake na mkewe na kwamba amechoka kabisa na kwamba amekuja kumrudisha mkewe kwa wazazi wake kisha arudi Dar akaangalie maisha yake ya baadaye bila mke! Du! Jambo hilo likawashtua sana wazazi! Basi wazazi wakamuuliza binti yao kama yaliyosemwa na mumewe ni kweli akakiri kwa aibu. Ndipo Mama yake akaagizwa akae naye chemba amuhoji sababu ni nini
akakaa naye lakini ikaonekana hana la maana. Kwa kweli walimlaumu sana kwamba amewatia aibu sana. Wakamwamuru amwombe mumewe msamaha akafanya hivyo. Pia wakwe wakamwombea masamaha na kumwomba mume aondoke naye. Lakini mume akakaza uzi kuwa hawezi kuondoka naye! Wakambembeleza huku mama na binti wakiwa wanalia lakini wapi
jamaa hataki kubadili msimamo! Walipombana sana akadai hana nauli ya kutosha watu wawili. Wakwe wakasema hilo sio tatizo nauli watatafuta. Hapo mume hakuwa na hoja tena ila kukubali yaishe! Ndivyo walivyomaliza hicho kizaazaa. Basi mume akarudi Dar na mkewe,mke akaachia asali kwa mara ya kwanza! Ndani ya mwaka mmoja
wakapata mtoto! Mpaka sasa ni mke mume na wana watoto kadhaa!!
Kwa hiyo kama huyo jamaa anaweza kuiga
mfano huu sijui. Nawasilisha.
 
Yaani hg ndo anamtaka baba mwenye nyumba? Ha haaaa, tuliwahi kulizungumzia hili zamaniiiiiii..... Baba mwenye nyumba kujaribiwa kutongozwa na hg kunamaanisha nini vile Dark City, The Boss....?


Hiyo couple imeniacha hoi kabisa mkubwa mwenzangu...

Yaani Hg anamtaka na yeye anamkataa...ina maana hawa watu wameshaongea ila bado wapo wapo bao...Any time wanaweza kujimovisha....

Halafu na huyo mama ana lake jambo....

Babu DC!!
 
unataka kusema hawa ndo wazoefu wa kutongozwa na mahg!
(dada mkubwa nimejificha nyuma yako ujue!)uuuwih ngoja waje!:tape2:


Umeanza lini tabia mbaya ya namna hiyo...

Unaamuwa kuwavunjia heshima watu ambao wamejijengea adabu yao kwa decades kibao?

Ngoja nitafute wakili haraka...

Babu DC!!!
 
my wee ile kesi ilikuwa nyepesi sana ujue!
cc EMT

loooh yaani pale ilikuwa nyepesi wakati mwenzenu jasho lilishantoka, walivoingilia watu kati nilifurahijeee?? msalimie EMT mwambie soul mate wangu anamsalimia na mbinu zake zilishindwa, sina hata ham nae EMT nikimsikia tuu kapita mahali nageuza njia looh
 
Last edited by a moderator:
Niwape experience ya mwanaume mmoja ambaye anakaa Dar ila alioa mwanamke wa Mbeya. Kilichotokea ni kwamba walipooana kwa ndoa mke hakutaka kumhudumia mumewe kabisaa hadi ukatimia mwaka! Mume aliafanya kila jitihada akashindwa. Lakini hakumbaka!Kwa hiyo alifanyaje? Mwaka ulipoisha bila mkewe kumpa keki,jamaa akamwambia mkewe waende Mbeya kuwasalimia wazazi (yaani wakwe wa mwanaume) huku mume akiwa na shangwe kabisa. Mke kafurahi huyo usipime! Safari ikapangwa kisha muda ukafika haoo...Mbeya kwa wazazi wa mke. Walipofika walikaribishwa kwa shangwe wakapewa huduma zote anazostahili mgeni. Hatimaye ukafika wakati wa kuharibu hali ya hewa! Mume akawaambia wakwe kuwa ana maongezi nao. Wakakaa mkao wa kula! Mume akapasua live kuhusu hali ya ndoa yake na mkewe na kwamba amechoka kabisa na kwamba amekuja kumrudisha mkewe kwa wazazi wake kisha arudi Dar akaangalie maisha yake ya baadaye bila mke! Du! Jambo hilo likawashtua sana wazazi! Basi wazazi wakamuuliza binti yao kama yaliyosemwa na mumewe ni kweli akakiri kwa aibu. Ndipo Mama yake akaagizwa akae naye chemba amuhoji sababu ni nini
akakaa naye lakini ikaonekana hana la maana. Kwa kweli walimlaumu sana kwamba amewatia aibu sana. Wakamwamuru amwombe mumewe msamaha akafanya hivyo. Pia wakwe wakamwombea masamaha na kumwomba mume aondoke naye. Lakini mume akakaza uzi kuwa hawezi kuondoka naye! Wakambembeleza huku mama na binti wakiwa wanalia lakini wapi
jamaa hataki kubadili msimamo! Walipombana sana akadai hana nauli ya kutosha watu wawili. Wakwe wakasema hilo sio tatizo nauli watatafuta. Hapo mume hakuwa na hoja tena ila kukubali yaishe! Ndivyo walivyomaliza hicho kizaazaa. Basi mume akarudi Dar na mkewe,mke akaachia asali kwa mara ya kwanza! Ndani ya mwaka mmoja
wakapata mtoto! Mpaka sasa ni mke mume na wana watoto kadhaa!!
Kwa hiyo kama huyo jamaa anaweza kuiga
mfano huu sijui. Nawasilisha.

huo ni uchizi. unakaa na mke mwaka mzima? nimekua mbuyu? afu niende kijijini kuwaambia wazazi? hata iweje huyo mwanamke aandike statement ya page 20 kuelezea sababu za kunibania mwaka mzima. hadi wazazi wakampige sound.
 
Baine ni kweli lkn pia huyo mkewe anasumbiliwa na kiburo sana na imawezekana nae anapigwa nje ya ndoa , cha msingi jamaa angemweleza khali halisi ma jimsi anavyojisikia kukatia huduma hiyo muhimu , na kama itashindikana ajaribu kutumia uanaume wake kama msemaji mmoja alivyosema hapo juu!
 
huyo mwanaume asitafute justification ya kutembea na house girl. otherwise azungumze na mkewe inawezekana kuna mambo yamejificha nyuma ya pazia. si vizuri kumjudge huyo dada moja kwa moja wakati haijulikani upande wa pili kuna nini.

Nyuma ya Pazia ndio wapi?
 
Mwanamke wa namna hiyo hana sifa ya kuwa mke....
Inabidi apewe likizo ya kurudishwa kwao kwanza....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom