Ralphryder
JF-Expert Member
- Nov 16, 2011
- 5,599
- 1,798
Jamaa yangu kanijia
anaomba ushauri,ana sema huu ni mwezi wa pili hajamjua mkewe anasema
kila akimwambia anasema amechoka au anaumwa, anasema amejaribu mpaka
outing lakini wapi mkewe anashilia msimamo ule ule amechoka hajisikii
vizuri,
Pia akesema hapo nyumbani kuna house girl wao anamtaka lakini
anamkatalia kwa kumuheshimu mkewe kwa kuwa anampenda, lakini kwa hali
ilipofikia anaona anashindwa hivyo akamua aje aombe ushauri kwangu
ambake mkewe au atembee na house girl wao? mambo ni mengi
kuyaandika itakuwa kitabu, hii ni story ya ukweli si ya kutunga so
ushauri wako uwe wa ukweli na si matusi asanteni
We acha we! mke kagoma na housegirl anataka! patamu hapo! Alambe wafuatao, 1.House gelo wake,2. raffiki wa mkewe,3. Mdogo au dada wa mkewe na mwisho asikilizie tifu kwanza,mengine ntamwelekeza zaidi akimaliza hayo kwanza.