Kubaka kwa style hii ni kosa?

Kubaka kwa style hii ni kosa?

Kisa kizuri, kinatufundisha uvumilivu...



Niwape experience ya mwanaume mmoja ambaye anakaa Dar ila alioa mwanamke wa Mbeya. Kilichotokea ni kwamba walipooana kwa ndoa mke hakutaka kumhudumia mumewe kabisaa hadi ukatimia mwaka! Mume aliafanya kila jitihada akashindwa. Lakini hakumbaka!Kwa hiyo alifanyaje? Mwaka ulipoisha bila mkewe kumpa keki,jamaa akamwambia mkewe waende Mbeya kuwasalimia wazazi (yaani wakwe wa mwanaume) huku mume akiwa na shangwe kabisa. Mke kafurahi huyo usipime! Safari ikapangwa kisha muda ukafika haoo...Mbeya kwa wazazi wa mke. Walipofika walikaribishwa kwa shangwe wakapewa huduma zote anazostahili mgeni. Hatimaye ukafika wakati wa kuharibu hali ya hewa! Mume akawaambia wakwe kuwa ana maongezi nao. Wakakaa mkao wa kula! Mume akapasua live kuhusu hali ya ndoa yake na mkewe na kwamba amechoka kabisa na kwamba amekuja kumrudisha mkewe kwa wazazi wake kisha arudi Dar akaangalie maisha yake ya baadaye bila mke! Du! Jambo hilo likawashtua sana wazazi! Basi wazazi wakamuuliza binti yao kama yaliyosemwa na mumewe ni kweli akakiri kwa aibu. Ndipo Mama yake akaagizwa akae naye chemba amuhoji sababu ni nini
akakaa naye lakini ikaonekana hana la maana. Kwa kweli walimlaumu sana kwamba amewatia aibu sana. Wakamwamuru amwombe mumewe msamaha akafanya hivyo. Pia wakwe wakamwombea masamaha na kumwomba mume aondoke naye. Lakini mume akakaza uzi kuwa hawezi kuondoka naye! Wakambembeleza huku mama na binti wakiwa wanalia lakini wapi
jamaa hataki kubadili msimamo! Walipombana sana akadai hana nauli ya kutosha watu wawili. Wakwe wakasema hilo sio tatizo nauli watatafuta. Hapo mume hakuwa na hoja tena ila kukubali yaishe! Ndivyo walivyomaliza hicho kizaazaa. Basi mume akarudi Dar na mkewe,mke akaachia asali kwa mara ya kwanza! Ndani ya mwaka mmoja
wakapata mtoto! Mpaka sasa ni mke mume na wana watoto kadhaa!!
Kwa hiyo kama huyo jamaa anaweza kuiga
mfano huu sijui. Nawasilisha.
 
kama bado anampenda mke atafute suluhisho la kudumu, hapa manake inaonekana kuna tatizo lakini hajakwambia, manake haiwezekani tu hivihivi wife anakataa. kwahiyo atafute watu wa kuzungumza na wife ,wamuulize tatizo nini, kama mke bado anamempenda mume wataelewana yataisha.
 
ukikutana na mwanamke wa aina kama hiyo usipige kelele tafuta mwanamke mwingine kimya kimya haka utakuwa uwekomesha kabisa
 
mbona huyu mama anatutia aibu wenzie? haendi kitchen party? hajui kuwa mwili wake ni mali ya mumewe mpka wapatane?labda mume ajaribu kucheck status ya memewe, je ni mjamzito? je ananyoshesha? je anatumia artifial family planning? ipi?isije ikawa imedetruct hormones zake akishikwa anaona kijiti kinampapasa.
 
Nashauri atafute kisa kidogo tu akasirike kisha amnase kakibao kadogo, ahakikishe kakibao hako katamuuma na kumtoa machozi mkewe! Alafu aanze kumbembeleza na kumuomba samahani kisha katika kuomba samahani na kubembeleza, mambo yote yatajipa tuu, na baada ya hapo ni tabasamu la kufa mtu kwa wote wawili..., nashauri hivyo maana napata hisia mwanake atakuwa ni lile kabila ambalo mwanamke bila kupigwa atajiona hana bahati ya kupendwa na mumewe........
 
loooh yaani pale ilikuwa nyepesi wakati mwenzenu jasho lilishantoka, walivoingilia watu kati nilifurahijeee?? msalimie EMT mwambie soul mate wangu anamsalimia na mbinu zake zilishindwa, sina hata ham nae EMT nikimsikia tuu kapita mahali nageuza njia looh

nilijua tu itakuwa hiv!
labda kama sio EMT partner wangu mimi!
pole my wee!
karibu kwenye chama!
 
Last edited by a moderator:
nilijua tu itakuwa hiv!
labda kama sio EMT partner wangu mimi!
pole my wee!
karibu kwenye chama!

hahahahahaaaaaaa my wee kusema ndo nimeshakuwa follower wake!! hapana bana mie habari zake tuu ndo zimenchosha
bado nimeganda kwa soul mate wangu na nitaendelea hivyo, nadiriki kusema EMT wala hajanibadilisha mawazo wala kunivutia kwake pamoja na kuja kwa speed na nguvu kubwa. Nimekuwa teja wa soul mate wangu dash dash dash (******** )
 
Last edited by a moderator:
hahahahahaaaaaaa my wee kusema ndo nimeshakuwa follower wake!! hapana bana mie habari zake tuu ndo zimenchosha
bado nimeganda kwa soul mate wangu na nitaendelea hivyo, nadiriki kusema EMT wala hajanibadilisha mawazo wala kunivutia kwake pamoja na kuja kwa speed na nguvu kubwa. Nimekuwa teja wa soul mate wangu dash dash dash (******** )
again!
thts EMT bana
the more yu hate him the more ...............................................
cc Mwali, Kongosho, Kaunga.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu kwan kipo kimoja hadi ambembeleze,istoshe kuombaomba ili hali anajua ni chake amehalalishiwa nikumpandisha chati mwenzie ajione adimu.,hakuna kingine kama vp we baka tu akizingua ndo gia nzuri asepe mwenyewe kama hataki we baka tu kila siku mpaka asepe kama hakinogi suuzia nje.,maisha marais kwa nin uumie kwa sababu ya kitoga
 
mke habakwi...ushaona wapi kesi kama hiyo
 
Nijuavyo mimi huwezi kumbaka mwanamke pasipo yeye kutaka; vinginevyo itakuwa ni kumjeruhi kwanza ili atoe kwa kuogopa kipondo; na hayo hayatakuwa mapenzi.
Ushauri wangu kwa huyo jamaa ni kwamba amwambie mke wake kwamba anahitaji huduma hiyo, kwa kuwa yeye hataki - basi amruhusu atafute sehemu nyingine ya kuponea. Akimruhusu atatafute kweli na ajitahidi atafute kifaa bomba zaidi ya huyo anayemringia; majibu atatujuza baada ya wiki kama 1 hivi.
 
Nyumba zina mambo mengi, huyo anayenyimwa unyumba mbona asemi sababu ya kunyimwa unyumba? Anataka kutuambia kuwa hali hiyo ilianza ghafla tu bila kuwa na sababu yoyote? Awe muwazi atasaidiwa.
 
Shida inakuja pale ambapo mwanaume anaomba unyumba wakati wana makandokando ambayo hawajayamaliza unategemea hata akipewe unyumba atapata ushirikiano wa kutosha? Au inakuwa kanyaga twende!! Wanaume wengine wanatumia nafasi hiyo kumaliza mambo kimyakimya bila kupata mwafaka katika matatizo yaliyopo mbele yao. Jambo la muhimu ni kupata muda wa kutosha kufanya suluhu ya matatizo yaliyopo kuliko kudai unyumba kama ngao ya kusawazisha mambo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom