magistergtz
JF-Expert Member
- Dec 17, 2011
- 282
- 56
Kama kweli, hongereni sana na endelezeni uzalendo huu Prof. Mukandala Dr. Ndalichako. Safi
Mwenyekiti wa Baraza la Mitihani la Taifa-NECTA ambaye pia ni Makamu Mkuuwa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam,Prof.Rwekaza Sympho Mukandala amesema hayuko tayari kubadili matokeo ya Kidato cha Nne.
Chanzo cha karibu cha Prof.Mukandala kinadai kuwa mara baada ya kutolewa taarifa ya Serikali inayotaka 'kuboreshwa' kwa matokeo hayo,Prof.Mukandala ameonesha kukataa amri hiyo hadi sasa. 'Sisi tulipitisha matokeo hayo mbele yao na kwa idhini yao.
Iweje leo Baraza libadili matokeo?.Tunafanya hivi kwa faida ya nani na kwa ustawi wa elimu ya wapi?' alinukuliwa akihoji Prof.Mukandala.
Habari za kuaminka zinadai kuwa Prof.Mukandala pamoja na Katibu Mtendaji Dr.Joyce Ndalichako wanajiandaa kuachia ngazi kama Serikali itasimamia uamuzi wake huo.
Mengi yatafuata. Kaeni chonjo! VUTA-NKUVUTE aka Mzee Tupatupa wa Lumumba,Dar es Salaam (sasa Dodoma)
Chanzo cha karibu cha Prof.Mukandala kinadai kuwa mara baada ya kutolewa taarifa ya Serikali inayotaka 'kuboreshwa' kwa matokeo hayo,Prof.Mukandala ameonesha kukataa amri hiyo hadi sasa. 'Sisi tulipitisha matokeo hayo mbele yao na kwa idhini yao.
Iweje leo Baraza libadili matokeo?.Tunafanya hivi kwa faida ya nani na kwa ustawi wa elimu ya wapi?' alinukuliwa akihoji Prof.Mukandala.
Habari za kuaminka zinadai kuwa Prof.Mukandala pamoja na Katibu Mtendaji Dr.Joyce Ndalichako wanajiandaa kuachia ngazi kama Serikali itasimamia uamuzi wake huo.
Mengi yatafuata. Kaeni chonjo! VUTA-NKUVUTE aka Mzee Tupatupa wa Lumumba,Dar es Salaam (sasa Dodoma)
Ni mwenyekiti wa NECTA!Mukandala anahusika vipi na matokeo ya olevel? au wameenda kuomba ushauli senet ya udsm? Hueleweki!
Chanzo cha karibu cha Prof.Mukandala kinadai kuwa mara baada ya kutolewa taarifa ya Serikali inayotaka 'kuboreshwa' kwa matokeo hayo,Prof.Mukandala ameonesha kukataa amri hiyo hadi sasa. 'Sisi tulipitisha matokeo hayo mbele yao na kwa idhini yao.
Iweje leo Baraza libadili matokeo?.Tunafanya hivi kwa faida ya nani na kwa ustawi wa elimu ya wapi?' alinukuliwa akihoji Prof.Mukandala.
Habari za kuaminka zinadai kuwa Prof.Mukandala pamoja na Katibu Mtendaji Dr.Joyce Ndalichako wanajiandaa kuachia ngazi kama Serikali itasimamia uamuzi wake huo.
Mengi yatafuata. Kaeni chonjo! VUTA-NKUVUTE aka Mzee Tupatupa wa Lumumba,Dar es Salaam (sasa Dodoma)
Kwa hiyo kubadili matokeo ndio solution? Mwakani wakifeli zaidi tutashusha tena? Mwishowe woote wakipata miswaki tutashusha ufaulu uwe Div 0? Hopeless!Kwa hiyo tunafurahi hawa watoto wakafanye kazi za u house girl na house boy,na shamba boy?Na pia waew vibaka ,ukipaki gari yako uibiwe vitu vya gari?fikirieni sana.
Huyo ndiye Mwenyekiti wa Baraza la Mitihani mkuu. Ni taarifa tu, maana wengi hawalijui hili.Mukandala anahusika vipi na matokeo ya olevel? au wameenda kuomba ushauli senet ya udsm? Hueleweki!
Serukambaaaa.........
Nakushauri pia kapitie mitaala ya kufundishia pamoja na quality ya walimu tulionao hapa Tanzania, halafu rudi tujadili vizuri. Sababu ziko nyingi ila nilizotaja hapo ni kidogo sana. Ninachokikataa na kukiona cha kipuuzi zaidi ni suala la kusema wana-standardize matokeo, hapa wanafanya standardization kwa faida ya nani? Kujifariji kuwa waliofaulu ni wengi wakati ukweli unajulikana? Huoni kuwa kwa kufanya hivyo tuna haribu quality ya wasomi wajao?
Maagizo/maelekezo ni lazima yatatolewa kupitia waraka ambao most likely utasainiwa na waziri mwenye dhamana ya elimu (kama sheria inavyotaka).Which minister specifically, or just any minister. The directive was from the PM and this guy doesn't deal with education (in its specificity).
ni bora PROF NA DR NDALICHAKO
WALINDE HESHIMA YAO prof mukandala ni msomi mzuri ila ana tabia ya
kuyumbishwa na wanasiasa na kama atalisimamia msimamo wake basi itakuwa
ushindi ata kwa wanafunzi wa UDSM pia Dr JOYCE NDALICHAKO bingwa wa
mathematics mwenye msimamo na asiyeyumbishwa ata kidogo anaweza
akajiuzulu kama serikali itaendelea na msimamo wao cha msingi WAWE NA
MSIMAMO MOJA ILA NAMWOFIA PROF ANAWEZA AKALEGEZA MSIMAMO.
Mwenyekiti wa Baraza
la Mitihani la Taifa-NECTA ambaye pia ni Makamu Mkuuwa Chuo Kikuu cha
Dar es Salaam,Prof.Rwekaza Sympho Mukandala amesema hayuko tayari
kubadili matokeo ya Kidato cha Nne.
Chanzo cha karibu cha Prof.Mukandala kinadai kuwa mara baada ya
kutolewa taarifa ya Serikali inayotaka 'kuboreshwa' kwa matokeo
hayo,Prof.Mukandala ameonesha kukataa amri hiyo hadi sasa. 'Sisi
tulipitisha matokeo hayo mbele yao na kwa idhini yao.
Iweje leo Baraza libadili matokeo?.Tunafanya hivi kwa faida ya nani na
kwa ustawi wa elimu ya wapi?' alinukuliwa akihoji Prof.Mukandala.
Habari za kuaminka zinadai kuwa Prof.Mukandala pamoja na Katibu Mtendaji
Dr.Joyce Ndalichako wanajiandaa kuachia ngazi kama Serikali itasimamia
uamuzi wake huo.
Mengi yatafuata. Kaeni chonjo!
VUTA-NKUVUTE
aka Mzee Tupatupa wa Lumumba,Dar es Salaam (sasa Dodoma)