Kubadili Matokeo IV 2012: Prof. Mukandala Aivimbia Serikali!

ROGERSHINE

Senior Member
Aug 15, 2012
129
82
Mwenyekiti wa Baraza la Mitihani la Taifa-NECTA ambaye pia ni Makamu Mkuuwa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam,Prof.Rwekaza Sympho Mukandala amesema hayuko tayari kubadili matokeo ya Kidato cha Nne.

Chanzo cha karibu cha Prof.Mukandala kinadai kuwa mara baada ya kutolewa taarifa ya Serikali inayotaka 'kuboreshwa' kwa matokeo hayo,Prof.Mukandala ameonesha kukataa amri hiyo hadi sasa. 'Sisi tulipitisha matokeo hayo mbele yao na kwa idhini yao.

Iweje leo Baraza libadili matokeo?.Tunafanya hivi kwa faida ya nani na kwa ustawi wa elimu ya wapi?' alinukuliwa akihoji Prof.Mukandala.
source;CHANZO CHA HABARI CHA KUAMINIKA
 
Utashi wa namna hii ndo unaotakiwa, tanzania imekua nhi ya kufanyia majaribio kwa kila jambo'
hapo ndo utaona mwalim Nyerere alikua na mtazamo chanya, niliwahi kumsikia katika moja ya hotuba zake akisema, hatuwezi kumpa nchi mtu anaetegemea ushauri kutoka kwa mkewe, maana huwezi kujua kesho mkewe atamshauri kitu gani,
Big up pr Mkandala.
 
Mhhh!! Serikali ya DHAIFU itamfuta kazi huyu, halafu watadai DHAIFU hakuhusika huyu umri wake wa retirement ulikuwa unakaribia kwa hiyo tukaona bora aondoke mapema. Professor Mukandala tunafuta matokeo kwa faida ya DHAIFU na Serikali yake pamoja na chama chao cha majangili ili wajipige kifua kwa kupasisha wanafunzi wengi na pia "kuboresha" matokeo ya wanafunzi waliofeli.

Mwenyekiti wa Baraza la Mitihani la Taifa-NECTA ambaye pia ni Makamu Mkuuwa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam,Prof.Rwekaza Sympho Mukandala amesema hayuko tayari kubadili matokeo ya Kidato cha Nne.

Chanzo cha karibu cha Prof.Mukandala kinadai kuwa mara baada ya kutolewa taarifa ya Serikali inayotaka 'kuboreshwa' kwa matokeo hayo,Prof.Mukandala ameonesha kukataa amri hiyo hadi sasa. 'Sisi tulipitisha matokeo hayo mbele yao na kwa idhini yao.

Iweje leo Baraza libadili matokeo?.Tunafanya hivi kwa faida ya nani na kwa ustawi wa elimu ya wapi?' alinukuliwa akihoji Prof.Mukandala.
source;CHANZO CHA HABARI CHA KUAMINIKA
 
Huyo angalau ana utashi

Kwa ninavyoijuwa Tanzanaia kwa jinsi ilivyo zaidi ya tuijuwavyo, YA TIDO MHANDO YAPO NJIANI yanakuja, TUSUBIRI TUTAONA..... Yaani hapo kaweka rehani kuanzia u-NECTA hadi u-UDSM..... Kama hajaambiwa si raia, basi muda wakustaafu au 'atapangiwa kazi nyingine...
 

Mwenyekiti wa Baraza la Mitihani la Taifa-NECTA ambaye pia ni Makamu Mkuuwa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam,Prof.Rwekaza Sympho Mukandala amesema hayuko tayari kubadili matokeo ya Kidato cha Nne.

Chanzo cha karibu cha Prof.Mukandala kinadai kuwa mara baada ya kutolewa taarifa ya Serikali inayotaka 'kuboreshwa' kwa matokeo hayo,Prof.Mukandala ameonesha kukataa amri hiyo hadi sasa. 'Sisi tulipitisha matokeo hayo mbele yao na kwa idhini yao.

Iweje leo Baraza libadili matokeo?.Tunafanya hivi kwa faida ya nani na kwa ustawi wa elimu ya wapi?' alinukuliwa akihoji Prof.Mukandala.
source;CHANZO CHA HABARI CHA KUAMINIKA

maamuzi magumu....
 
Kwa ninavyoijuwa Tanzanaia kwa jinsi ilivyo zaidi ya tuijuwavyo, YA TIDO MHANDO YAPO NJIANI yanakuja, TUSUBIRI TUTAONA..... Yaani hapo kaweka rehani kuanzia u-NECTA hadi u-UDSM..... Kama hajaambiwa si raia, basi muda wakustaafu au 'atapangiwa kazi nyingine...

unamawazo finyu kweli unaongea uadhani umekunywa urojo.
 
Kama ni kweli nampongeza na tunahitaji viongozi wenye msimamo wa namna hii ambao hawako tayari kuendeshwa na wanasiasa katika mambo nyeti kma elimu ambayo ndio mustakhabari wa Taifa na ustawi wa Watanzania wenye weledi na ujasiri. Mambo ya kubebana ndio kuzika kizazi cha kesho na Taifa maana watakaozalishwa na mfumo wa elimu ya kisiasa siasa watakuja kufanya kazi ya kuuza ardhi na mali asili zetu ili wapate kula na mwisho wa siku watabaki bila kitu. Kuchezea elimu leo ni kuua Taifa letu na kufanya kizazi kijacho vibarua na ombaomba katika Taifa lao maana watakuwa wamekosa maarifa ya kupambana na Watu wa mataifa mengine waliowekeza vyema katika mifumo yao ya elimu.
Napongeza sana msimamo wa Prof.Mukandala na wenzake kama ni thabiti.
 
Mwenyekiti wa Baraza la Mitihani la Taifa-NECTA ambaye pia ni Makamu Mkuuwa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam,Prof.Rwekaza Sympho Mukandala amesema hayuko tayari kubadili matokeo ya Kidato cha Nne.

Chanzo cha karibu cha Prof.Mukandala kinadai kuwa mara baada ya kutolewa taarifa ya Serikali inayotaka 'kuboreshwa' kwa matokeo hayo,Prof.Mukandala ameonesha kukataa amri hiyo hadi sasa. 'Sisi tulipitisha matokeo hayo mbele yao na kwa idhini yao.

Iweje leo Baraza libadili matokeo?.Tunafanya hivi kwa faida ya nani na kwa ustawi wa elimu ya wapi?' alinukuliwa akihoji Prof.Mukandala.
source;CHANZO CHA HABARI CHA KUAMINIKA



Hongera kwa msimamo na weledi ulioonesha katika kuhoji kwako. Uking'ang'aniwa jiuzulu baba.
 
Hongera Prof. Umeneonesha ukomavu wa kiutaaluma na siyo matakwa ya wanasiasa.
 
Hongera Prof. Umeneonesha ukomavu wa kiutaaluma na siyo matakwa ya wanasiasa.
 
Hongera Prof. Umeneonesha ukomavu wa kiutaaluma na siyo matakwa ya wanasiasa.
 
unamawazo finyu kweli unaongea uadhani umekunywa urojo.

Unaweza ukawaza vyovyote vile unavyodhani inafaa, lakini jiulize yafuatayo...
1. Jenerari Ulimwengu, kitu gani kilisababisha atajwe kuwa si raia wa Tanzania? wakati alishakuwa na vyeo kadhaa anavyotakiwa kupewa raia kabla?
2. Bashe naye ilikuwaje ghafra 'akawa' si raia wa Tanzania?
3. Samweli Sita, kwa nini alitishiwa kunyang'anywa kadi ya CCM?
4. Idd Simba, naye ilikuwaje hadi ikasemwa kuwa si raia wa Tanzania?
na mengine kadhaaa.....

Angalia isije ikawa wewe ndo umekunywa UROJO.... Maana hata wale wa Mirembe, wanatuona sisi wazima ndo vichaa.... Kwa hiyo wala sishangai wewe kuyaandika hayo uliyoyaandika... KARIBU KWA HOJA
 
mi naona ni sawa tu, mana kama muda wote wa uongozi wake hakuwahi kufanya upimbi wa aina hiyo iweje naw, ni bora mtu ustaafu na heshima yako.
 
Tutabadili matokeo lakini historia ya anguko la elimu Tanzania itaendelea kutuhukumu kwa ujinga wetu.
 
Back
Top Bottom