Mimi ni mtoto wa Polisi na mzee wangu alikuwa mkubwa sana kwa miaka mingi kwenye jeshi hili. Kuanzia IGP harun mahundi aondoke 1996 Polisi imegeuzwa genge la wahuni na mafia.
IGP Mahita ndiye aliye anzisha genge la umafia Polisi na viongozi wa serikali wamekuwa wakifumbia macho makusudi kwasababu genge hili limekuwa likitumia kuwasaidia kisiasa na kuwazuia wapinzani na kuiba kura.
1. Kwanza walianzisha mifuko ambayo haipo kisheria ambayo inakata makato kwa kila polisi mfano kuna mfuko wa kufa na kuzikana ambao Polisi wa chini hawaruhusiwi kuhoji pesa inatumikaje na wala hawapati chcochote! hata wakifiwa
2. Kikosi cha ulinzi maalamu kama wa banks na sehemu nyeti kampuni zinalipa Polisi lakini sio serikali wala Polisi wengine wanajua pesa inaenda wapi.
3. Rushwa barabarani kila RPC anapata chake kutoka kwa mkuu wa traffic wa mkoa na kati ya hizo kuna fungu linaenda kwa wakubwa makao makuu na hakuna mtu wa kuhoji
4. Kuna pesa inategemea kuletwa ya rushwa kutoka kwa RPC wa mikoa ya mpakani. Hii ruhswa na kuingiza na kutoa magendo bila kodi. RPC asipo tuma pesa anahamishwa haraka sana. Mikoa kama Kagera, Mwanza, Mara, Tanga, Mbeya, Kilimanjaro na Arusha wanahusika na hili. Yaani ilifika wakati RPC akipandishwa cheo na kupekwa makao makuu Dar anachukia kama kapata msiba kwasababu hakuna rushwa makao makuu kama mikoani.
IGP mwema alijaribu kusafisha lakini hajafanikiwa kwasababu mitandao ilikuwa imeota mizizi sana na utamaduni wa rushwa umekuwa mkubwa sana kwa muda mrefu. Bado kuna wizi mkubwa kwa Polisi wa railways, vitengo vya magari na spair parts.
Polisi ni lazima ivunjwe na kuundwa upya na Polisi wa chini wawe na uhuru wa kusema maovu bila kuogopa mabosi wao. Lakini kuwe na uangalizi maalumu kama Bodi ambayo iwe na wanasheria na ofisi ya mkaguzi mkuu na iruhusiwe kohoji Polisi wa kawaidia bila vipingamizi kwa wakati wowote.
Yaani Sirro nyumba yake ya Musoma ilikuwa inasimamiwa na maafisa wa Polisi kwenye ujenzi wakati ni nyumba binafsi. Lakini imejegwa na wadhamini. Tibaigana alijengewa mpaka Hoteli na wadhamini waziwazi. Hawa wadhamini ni watoa rushwa na wenye magendo
Hakuna kitengo wafanyakazi wanafanya kazi kwa shida kama Polisi wa chini. Lakini hakuna kitengo wakubwa wanaishi vizuri kama Polisi Mahita alikuwa na helikopta yake kabisa ya kumpeleka Morogoro kwao weekend
Naomba niongezee kitu kingine: kuna magari yanashikwa na Polisi ya wizi au wauza madawa yanataifishwa. Je umewahi kusikia mnada wa magari ya Polisi. Nakumbuka wakati mzee wangu akiwa RPC zamani tulishangaa tumeletewa Toyota 4 runner tukaambiwa ni magari ya wizi ya mnada na mzee kalipa laki moja tu kwa gari mpya. Halafu RCO naye alipewa gari zuri yaani ulikuwa ni utamaduni na hakuna wa kuuliza wala kuhoji
Hakuna kiongozi amesaidia Polisi huko nyuma kama Mahundi ambaye alikuwa nasifika kwa kuwa na akili sana.
Mwanzilishi wa mafia ya polisi
IGP Mahita ndiye aliye anzisha genge la umafia Polisi na viongozi wa serikali wamekuwa wakifumbia macho makusudi kwasababu genge hili limekuwa likitumia kuwasaidia kisiasa na kuwazuia wapinzani na kuiba kura.
1. Kwanza walianzisha mifuko ambayo haipo kisheria ambayo inakata makato kwa kila polisi mfano kuna mfuko wa kufa na kuzikana ambao Polisi wa chini hawaruhusiwi kuhoji pesa inatumikaje na wala hawapati chcochote! hata wakifiwa
2. Kikosi cha ulinzi maalamu kama wa banks na sehemu nyeti kampuni zinalipa Polisi lakini sio serikali wala Polisi wengine wanajua pesa inaenda wapi.
3. Rushwa barabarani kila RPC anapata chake kutoka kwa mkuu wa traffic wa mkoa na kati ya hizo kuna fungu linaenda kwa wakubwa makao makuu na hakuna mtu wa kuhoji
4. Kuna pesa inategemea kuletwa ya rushwa kutoka kwa RPC wa mikoa ya mpakani. Hii ruhswa na kuingiza na kutoa magendo bila kodi. RPC asipo tuma pesa anahamishwa haraka sana. Mikoa kama Kagera, Mwanza, Mara, Tanga, Mbeya, Kilimanjaro na Arusha wanahusika na hili. Yaani ilifika wakati RPC akipandishwa cheo na kupekwa makao makuu Dar anachukia kama kapata msiba kwasababu hakuna rushwa makao makuu kama mikoani.
IGP mwema alijaribu kusafisha lakini hajafanikiwa kwasababu mitandao ilikuwa imeota mizizi sana na utamaduni wa rushwa umekuwa mkubwa sana kwa muda mrefu. Bado kuna wizi mkubwa kwa Polisi wa railways, vitengo vya magari na spair parts.
Polisi ni lazima ivunjwe na kuundwa upya na Polisi wa chini wawe na uhuru wa kusema maovu bila kuogopa mabosi wao. Lakini kuwe na uangalizi maalumu kama Bodi ambayo iwe na wanasheria na ofisi ya mkaguzi mkuu na iruhusiwe kohoji Polisi wa kawaidia bila vipingamizi kwa wakati wowote.
Yaani Sirro nyumba yake ya Musoma ilikuwa inasimamiwa na maafisa wa Polisi kwenye ujenzi wakati ni nyumba binafsi. Lakini imejegwa na wadhamini. Tibaigana alijengewa mpaka Hoteli na wadhamini waziwazi. Hawa wadhamini ni watoa rushwa na wenye magendo
Hakuna kitengo wafanyakazi wanafanya kazi kwa shida kama Polisi wa chini. Lakini hakuna kitengo wakubwa wanaishi vizuri kama Polisi Mahita alikuwa na helikopta yake kabisa ya kumpeleka Morogoro kwao weekend
Naomba niongezee kitu kingine: kuna magari yanashikwa na Polisi ya wizi au wauza madawa yanataifishwa. Je umewahi kusikia mnada wa magari ya Polisi. Nakumbuka wakati mzee wangu akiwa RPC zamani tulishangaa tumeletewa Toyota 4 runner tukaambiwa ni magari ya wizi ya mnada na mzee kalipa laki moja tu kwa gari mpya. Halafu RCO naye alipewa gari zuri yaani ulikuwa ni utamaduni na hakuna wa kuuliza wala kuhoji
Hakuna kiongozi amesaidia Polisi huko nyuma kama Mahundi ambaye alikuwa nasifika kwa kuwa na akili sana.
Mwanzilishi wa mafia ya polisi