PakiJinja
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 7,769
- 16,016
Likishafumuliwa mtaajiri tena watanzania? Au tuwakabidhi DP World?Hili jeshi linatakiwa lifumuliwe lote kuanzia kwenye mfumo wa upatikanaji wa polisi mpaka kwenye uongozi wa juu.
Sent using Jamii Forums mobile app