Kimbunga hapo nimekupata, uko sahihi kabisa si vizuri fedha za walipa kodi zilizokuwa zinapaswa kufanya shughuli za maendeleo kuzitumia kwenye shughuli za vyama, lakini huyo jamaa yeye hoja yake ilikuwa kwamba wanazitumia vibaya kwa kufanya mikutano na kuonga watu ndo maana nikamjia juu