Miongoni maw vipofu na viziwi ni wewe labda magamba yamekupofusha anayekula pesa za wananchi ni Nape kuwa Mkuu Wa wilaya na kuwa Mkuu magambani.A lose Dk Slaa, leo nimemuona kwenye TV anaongea na wanafunzi wa vyuo yaani yupo mkiwa sana! dhambi ya pesa za wananchi (Ruzuku) kufanya maandamano kisha wanagawana posho, naona inamtafuna na bado mpaka kieleweke
you barking dog, angalia ni wangapi wanausapot na wangapi wanaupinga upuuzi na ujinga wako uliouonyesha kupitia thread yako, na hapo ndio utajua ana wafuasi kiasi gani.1.jamaa ameanza kuanguka kisiasa kiukweli havumi kama miezi michache iliyopita hii inatokana na sakata lake la posho ambapo nayeye inabidi ajivue gamba kwa hilo 2. Sasa anategemea maandamano tu sasa ili ajijenge kisiasahali yake tete mpaka anaandaa mikutano vichochoroni na vyuoni ili apate posho3.hata thread za kumuhusu yeye nw hazina mvuto kama zamani wachangiaji wachache sana.
Kama kuna dhambi ya kuwatafuna kwa matumizi mabaya ya fedha za wananchi magamba kuna atakayepona kweli?! Kila mnachosema ni hatari kwa magamba na sio cdm wala SlaaA lose Dk Slaa, leo nimemuona kwenye TV anaongea na wanafunzi wa vyuo yaani yupo mkiwa sana! dhambi ya pesa za wananchi (Ruzuku) kufanya maandamano kisha wanagawana posho, naona inamtafuna na bado mpaka kieleweke
nani alimuambukiza ujinga mwenzie baba au mama yako, unasomeka kuwa mjinga mara mbili yao.teh teh wengi wenu dhiki ndo zinawasumbua msiilaumu ccm walaumuni wazazi wenu ndo walikuwa wazembe kutokuwa na elimu ndo mana mpo hapo saivi mnabwabwaja mkiamini padri may be atawakumbuka kwenye ufalme wake
nawasiwasi na hilo bichwa lako wewe unazani cdm wote wameafiki swala la posho? Unajua kwenye kikao chao golden crown hotel yaliyotokea? Mh kama hawaitaki mbona hadi majuzi mbowe mwenyewe alisaini kuichukua?Jaribu wewe na wenzako kuficha upumbavu wenu .Then mnalia lia JF ni Chadema kumbe mnakuja hamna hoja . Slaa si mtu wa kusema hovyo .Atasema muda muafaka . Yaani Chadema watake posho iondolewe leo tena iwatese ? Kweli wewe akili zako zinakutosha mwenyewe.
teh teh kwasababu wewe unakanyagwa sana ivyo unazani wote wa type yako umeme tukiujadili humu ndo mgao utaisha?Wewe unakanyagwa,watu tunalia mgao masaa24 wewe unareta utani Humu? Nenda kamwambie NEPI amshauri ngeleja ajivue gamba.mji mzima giza we unaanza reta mambo ya Kum Dis dr? Narudia tena mtoa thread unakanyagwa.
Always small mind talk about people...Ungekuwa na akili kidogo ungetumia muda uliotumia kuandika hii thread kuishauri serikali ya JK.1.jamaa ameanza kuanguka kisiasa kiukweli havumi kama miezi michache iliyopita hii inatokana na sakata lake la posho ambapo nayeye inabidi ajivue gamba kwa hilo 2. Sasa anategemea maandamano tu sasa ili ajijenge kisiasahali yake tete mpaka anaandaa mikutano vichochoroni na vyuoni ili apate posho3.hata thread za kumuhusu yeye nw hazina mvuto kama zamani wachangiaji wachache sana.
Usilolijua ni sawa na usiku wa giza, hapa pesa ipo mingi, hapana jiuliza leo nile nini, hapa jiuliza pia maisha magumu, ni mtu iliyotulia, ila inahitaji kulea watu kama nyinyi mnao kimbilia kwa Nape awanyweshe awalishe
Na yule kiongozi wenu wa chama cha magamba aliyewahi kuitwa "mkombozi wa Watanzania" "Chaguo la Mungu" akaingia kwa gia kubwa ya "ari mpya, nguvu mpya na kasi mpya" huwa anavumia wapi siku hizi? kwenye mabembea ya Ikulu!?
Slaa mbona hata u class monitor hatoshi, kiongozi wa maandamano tu