Kuagwa kwa Marehemu Dk. Mvungi - ITV

Kuagwa kwa Marehemu Dk. Mvungi - ITV

Kweli CCM imechoka. Huku ikijua kila mtu anafahamu huyu jamaa ni nini kafanya hapa nchini wanamtuma akatoe rambi rambi. Duh.

mkuu, hilo tutusa madelu linajua vyema laptot ya marehemu ilipo.
 
Ndugu wanajamvi,

ninangalia ITv wakirusha matangazo kuhusu msiba wa wakili, mwanaharakati na bingwa wa sheria ya katiba, karibu mawaziri wote wakuu wapo, hata kikwete ameandika kabisa rambi rambi na kuomba zisomwe kwa kuwa yupo nje ya nchi


Huyu ndugu yetu lowasa, ambaye anaujua kabisa mchango wa Dr. Mvungi katika kuitengeneza katiba mpya mbona hayupo? ingekuwa ni mwanaccm nguli kama huyu ametutoka kweli lowasaa angekosa kuwepo? au haya aliyoamini na kusimamia Dr. Mvungi hasa kuwa na katiba kwa ajili ya taifa na si andiko la watawala kwa watawaliwa yamemuudhi sana lowasa?

nawasilisha
 
Wanajamvi

Mhe. Mwingulu akitoa salamu za Chama kuaga Mwili wa Marehemu Dk. Mvungi.

Amekiri katika Salamu kuwa mambo ya ukatili yanayotokea Tanzania Serikali ichukue hatua.

Lakini yeye anaona, "Roho ya mauti na Mapepo"
Ndo yanafanya haya.

My take.

Je ni kweli Tanzania imevamiwa na roho ya mauti na mapepo kwa yanayokea kwa Wanaharakati Watetezi

Vyombo vya dola vimkamate aonyeshe hiyo roho na mapepo kwa kuwa anaona navyo viyaone vichukue hatua.

Kwa kuwa anawakilisha ssm nao ndo mtazamo wa chama kwa yanayotokea?

Yanaongozwa na ccm
 
Kwani wewe unajua alipo lowassa? Kwa nini unataka ku~make a fuss kuwa lowassa hajahudhuria huo msiba? Ukizingatia anaweza asipewe nafasi ya kusomwa rambirambi zake kwa sababu yeye ni mbunge wa monduli tu na hana heshima ya waziri mkuu mstaafu. He is also human and he might be having personal issues.
 
Viongozi wengi wa ccm wa ngazi za juu wakifa, hawatapata enzi kamwe.
 
Jenga taswira kichwani,
HUU UNGEKUWA NI MSIBA WA MWIGULU NCHEMBA HALI INGEKUAJE ?
 
Mkuu hauko sawa unajua msiba hauhitaji
Promo kama unavyodhani........
Ni mtu wa kawaida na hata asipokuwepo
Dr atazikwa tu.
 
mleta mada wewe kambi gani? tujuane mapema!!
 
Mkuu El yupo busy katika harakati za kuimarisha kambi yake ya mbio za uraisi. Ila hakijaaribika kitu kwani amewakilishwa vema na kijana ake Mwigulu Nchemba.
 
Atakuepo kisangara mwanga wakati wa mazishi,wamegana majukumu wa dar na kijijini
 
Kwa kuwa ameuwawa kwa sababu ya kudai serikali tatu- kwa kudai serikali ya Tanganyika - Lazima itakuwepo hata kama wengine hawataki!
 
Back
Top Bottom