Brightman Jr
JF-Expert Member
- Mar 22, 2009
- 1,224
- 236
Sisi sote ni mavumbi na mavumbini tutarudi wakiwemo hao waliopanga na kusababisha kifo cha Dr.Mvungi.
Serikali tatu ndio dawa ya muungano
kuwa makini ucje ukaishia kunyea debe uko verified user watakuja kukutafuta we fanya masihara na masuala nyeti
Tutakukumbuka daima dr wa sheria, sengondo mvungi
Mwigulu kanikera sana eti anaona roho ya mauaji,unyamama na analaani matukio ya mauaji!
Muuaji analaani mauaji ptuuuu!
Nimesikitika kwa kuwa icons sizioni ili ni - attach picha. Mbaya zaidi hata "like" hazikubali. Sijui kuna nini?Hivi hakuna hata picha wajameni
Mwigulu Nchemba ana wasiwasi kweli! Roho inamsuta, muuaji analaani mauaji! Shame on uuuu!