Eddo Sambai
JF-Expert Member
- Aug 1, 2013
- 2,412
- 1,928
Mkuu hauko sawa unajua msiba hauhitaji
Promo kama unavyodhani........
Ni mtu wa kawaida na hata asipokuwepo
Dr atazikwa tu.
Mkuu ujaliona lile jeneza lililoulaza mwili wa marehemu Dr. Mvungi lilivyo la bei ghali? basi EL ndio alienunua na ukitaka kujua ni kiasi gani cha pesa alichokitoa mpaka sasa sema tufunguke zaidi.