Kuagwa kwa Marehemu Dk. Mvungi - ITV

Kuagwa kwa Marehemu Dk. Mvungi - ITV

Nimemsikiliza kaka Mwingulu Nchemba;ccm;; katika tukio la kuaga mwili wa Dr;Sengondo Mvungi; Nimesikitika sana sijui afahamu sijui haelewi; naomba nimkumbushe Mtukio ya Absalom Kibanda Ulimboka,Mwangosi, Prof Mwakyusa,
Kusema eti analaani vikali hili tukio Roho ya mauwaji, na Pepo hili ya mauwaji; nimeshindwa kuelewa haya yote kwani yawakute watetezi wa haki za binadamu;Mwigulu tatizo liko kwenye serekali yenu; Ulimboka aliwataja wahusika mlifanya nini kama chama, swala la Mwakyusa vipi liko vipi? Kibanda nae vipi; Unakumbuka tukio la SOWETO ARUSHA;;Olasiti Arusha;Mauwaji ya 05/01.2011;siku ya jumatano Arusha,Sakata la Said Kubenea vipi;nalo mnalilaani;;';'
Niseme wako wanaofurahia vifo vya wengine ili matakwa yao yatimie'
TUTAKUKUMBUKA MILELE JEMEDARI WA MABADILIKO TANZANIA ;Dr;sEnGoNdO mVuNgI;'''''''''''''''R;I;P;
1385850_555400947877237_2041631686_n.jpg
 
May The LORD God give your soul and Eternal Peaceful Rest Dr. E S Mvungi. Damu yako na iwe juu ya waliyoshiriki kuimwaga, Hukumu ya Mungu Ikawe juu yao!! Faraja ya Mungu Ikawe na mkeo, watoto wako, ndugu zako na wale wote waliougua mioyo yao kwa uchungu wa kukupoteza. Pumzika kwa Amani baba yetu, ndugu yetu, rafiki yetu, mwalimu na mtetezi wa watanzania.
 
mwigulu amevaa bendera ya taifa shingoni ya nn mnafiki mkubwa
 
Toka Mwigulu apewe nafasi ya kuongea msiba wote umepooza na huzuni imeongezeka.
 
Poor reasoning,,,na mwingine naye akifa mwenye msimamo wa serikali moja??!!

It is more than those words,!!!!!!!

Unadhani ataenziwa kwa msimamo huo tu au ni mkusanyiko wa matukio katika maisha yake yanayoakisi hili la mwisho????!!!!

Sio kila mfu huenziwa,wewe kufa leo sasa hivi waweza hata usipate thread humu!!!!!!!

Wivu mpaka kwa wafu!!!!!!!
 
Serikali tatu ndio dawa ya muungano

Beya Mkwamisi Mwalukosi, kumbe siku zingine unajitoa ufahau makusudi, kama taendelea kuwa logic hivihivi utakaporudi nyumbani Krimas nitakuanalia kondobandoba mung'asi kalikobnikwa vizuri.
 
Beya Mwamisi Mwalukosi, kumbe siku zingine unajitoa ufahau makusudi, kama taendelea kuwa logic hivihivi utakaporudi nyumbani Krimas nitakuanalia kondobandoba mung'asi kalikobnikwa vizuri.
Mkwamisi nani?

Amaligo higoo beee mdimi be!
 
Familia imemchagua Mh. James Mbatia kuwa baba mlezi ya familia ya marehemu Dr. Mvungi. Huzuni ni kubwa sana
 
nimemsikiliza kaka mwingulu nchemba;ccm;; katika tukio la kuaga mwili wa dr;sengondo mvungi; nimesikitika sana sijui afahamu sijui haelewi; naomba nimkumbushe mtukio ya absalom kibanda ulimboka,mwangosi, prof mwakyusa,
kusema eti analaani vikali hili tukio roho ya mauwaji, na pepo hili ya mauwaji; nimeshindwa kuelewa haya yote kwani yawakute watetezi wa haki za binadamu;mwigulu tatizo liko kwenye serekali yenu; ulimboka aliwataja wahusika mlifanya nini kama chama, swala la mwakyusa vipi liko vipi? Kibanda nae vipi; unakumbuka tukio la soweto arusha;;olasiti arusha;mauwaji ya 05/01.2011;siku ya jumatano arusha,sakata la said kubenea vipi;nalo mnalilaani;;';'
niseme wako wanaofurahia vifo vya wengine ili matakwa yao yatimie'
tutakukumbuka milele jemedari wa mabadiliko tanzania ;dr;sengondo mvungi;'''''''''''''''r;i;p;
1385850_555400947877237_2041631686_n.jpg

tatizo la wtz ni kutokuwa watu wa vitendo! Watu kama hawa ni wakufukuza ktk gathering ya namna hii!
 
tatizo la wtz ni kutokuwa watu wa vitendo! Watu kama hawa ni wakufukuza ktk gathering ya namna hii!

Nikweli kabisa mkuu. Tumekuwa wavivu wa kufanya maamuzi, maana muhusika alikuwepo kwenye msiba alafu wakampigia kimya.
 
daa siasa za tanzania haziishi vituko heti anaona roho ya mauti na mapepo.
daa Mwigulu Nchemba kaongea kama mzee wa upako vile. hahahahahahahahaha
 
Last edited by a moderator:
Naomba kuuliza.
Hizi gharama za mazishi zitakuwa zimegharamiwa na nani?
 
Back
Top Bottom