Unajuaje, pengine kawakilishwa. Kwani lazima awepo mwenyewe?...
Jk anatamani arudi aje kuuza nyago kwenye msiba
Ndugu wanajamvi,
ninangalia ITv wakirusha matangazo kuhusu msiba wa wakili, mwanaharakati na bingwa wa sheria ya katiba, karibu mawaziri wote wakuu wapo, hata kikwete ameandika kabisa rambi rambi na kuomba zisomwe kwa kuwa yupo nje ya nchi
Huyu ndugu yetu lowasa, ambaye anaujua kabisa mchango wa Dr. Mvungi katika kuitengeneza katiba mpya mbona hayupo? ingekuwa ni mwanaccm nguli kama huyu ametutoka kweli lowasaa angekosa kuwepo? au haya aliyoamini na kusimamia Dr. Mvungi hasa kuwa na katiba kwa ajili ya taifa na si andiko la watawala kwa watawaliwa yamemuudhi sana lowasa?
nawasilisha
Kanisa lipi? Kwani huwa unambebea mkoba wa hela?...bishop hewa si ndio anakujaga kwenye makanisa yenu kutoa rushwa
niko hapa buguluni malapa kuna bonge la foleni alitembei kabisaaaaaaa, askari msaada pls.... RIP DR MVUNGI.
Mwigulu ameongeza majonzi kwenye huo msiba...
Ndugu wanajamvi,
ninangalia ITv wakirusha matangazo kuhusu msiba wa wakili, mwanaharakati na bingwa wa sheria ya katiba, karibu mawaziri wote wakuu wapo, hata kikwete ameandika kabisa rambi rambi na kuomba zisomwe kwa kuwa yupo nje ya nchi
Huyu ndugu yetu lowasa, ambaye anaujua kabisa mchango wa Dr. Mvungi katika kuitengeneza katiba mpya mbona hayupo? ingekuwa ni mwanaccm nguli kama huyu ametutoka kweli lowasaa angekosa kuwepo? au haya aliyoamini na kusimamia Dr. Mvungi hasa kuwa na katiba kwa ajili ya taifa na si andiko la watawala kwa watawaliwa yamemuudhi sana lowasa?
nawasilisha
Mbona mbowe simuoni????
bishop hewa si ndio anakujaga kwenye makanisa yenu kutoa rushwa
wewe kuku kazi yako kutaga mayai.