Mimi nakubaliana na wewe ndugu ila nadhani hatua ya kwanza ni kuiondoa madalakani serikali ya ccm kwani imeonyesha kwa vitendo kuwa haiwezi kutulinda Watanzania na mali zetu.kama tutakuwa kimya basi wengi tutwapoteza yatupasa tuamke usingizini maana hali inatisha kwa kweli
Huyo gaidi namba moja amefata nini hapo msibani
chitambikwa, kitufe cha "like" kimenigomea. Ngoja mods wanisikie kikikubali nabofya.
kova kavaa mlegezo