Kuagwa kwa Marehemu Dk. Mvungi - ITV

Kuagwa kwa Marehemu Dk. Mvungi - ITV

mwigulu amemalizia kwa kusema "tuliumbwa kwa mavumbi tutarudi kwa mavumbi jina la bwana libarikiwe" anaenda kukaa, polisi hawajamkamata, kova nae yupo anajifanya hajamuona. Hii inatisha hali ni huzuni

kwa hiyo unasemaje , nguvu ya umma itumike ?
 
Jamani katika wote namounea huruma JAJI WARIOBA. Ameishiwa nguvu mzee wa watu. Nackia alipopata habari aliangua kilio cha kisukuma!

Hawezi kulia kilio cha kisukuma wakati yeye si msukuma

Sent from my BlackBerry 9700 using Jamii Forums
 
Kweli daima WEMA hawana MAISHA nimeamini!
 
Angeshauri serikali imkamate kapuya a.k.a mbakaji mr grid ya taifa ningemuona wa maana sana.
 
Kweli CCM imechoka. Huku ikijua kila mtu anafahamu huyu jamaa ni nini kafanya hapa nchini wanamtuma akatoe rambi rambi. Duh.
 
Kaanza kutubu nini, dhambi zimemwelemea inavyoonekana.
 
mwigulu mnafiki mkubwa yeye anajua kila kitu ndo muhusika mkubwa ndo maana amewakilisha chama cha wanapotezea roho za wanaharakati na wabakaji wakubwa ccm
 
CCM sio kama chadema, mkitofautiana mnatafuta solution, kwa chadema ni kutimuana

Mkuu unaongea kinyume! Mimi tangu nakua tulikuwa na msemo wetu "Zidumu fkra sahihi za mwenyekiti wa CCM, au wewe ulikuwa mdogo enzi hizo?" Na mpaka leo kuna msimamo kama huo! Unakumbuka G55 kwanini walishindwa na Nyerere? Au ulikuwa mdogo wakati huo?

Nyerere alilishinda Bunge plus G55 plus Watanzania woote, kisa nini? "Zidumu fkra sahihi za mzee! Unalijua hilo?
 
Najitaidi kupata picha ila linck ya itv sijaipata vizuri
images
 
Kweli CCM imechoka. Huku ikijua kila mtu anafahamu huyu jamaa ni nini kafanya hapa nchini wanamtuma akatoe rambi rambi. Duh.

Ndo wenye afadhali kidogo huko Magambani, waliobaki wengine ndo hao akina Profesa Kapuya, saa hizi sijui anambaka mjukuu wa nani, ilahi toba!!
 
Kaongea ki utu uzima na kwa busara sana!!!!!

Hope wamemsikia naye!!!!
 
Mwigulu amemalizia kwa kusema "TULIUMBWA KWA MAVUMBI TUTARUDI KWA MAVUMBI JINA LA BWANA LIBARIKIWE" anaenda kukaa, polisi hawajamkamata, Kova nae yupo anajifanya hajamuona. Hii inatisha hali ni huzuni

Wakati anatoa salamu viingozi wote waupinzani wamenununs vby hata yeye mwenyewe kashtuka hakwenda kuwapa viongozi wa nccr mkono wa pole kapaona
 
Back
Top Bottom