assadsyria3
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 6,909
- 4,057
ndio maana ccm wamemuua kwasababu wao ndio wanaopinga serikali tatu
can u verify sheria ichukue mkondo wake
ndio maana ccm wamemuua kwasababu wao ndio wanaopinga serikali tatu
Nimeupenda huu ujumbe wa padri
Kama yule Mtoto aliyebakwa na yule kada wa CCM aliweza kuverify unyama aliofanyiwa na ACUDO IMPACT Kapuya na sheria haikuchukua mkondo ndio hili la mvungi watachukua wakati ni moja ya Ilani za CCM(kuuwa na kubaka)can u verify sheria ichukue mkondo wake
zito anamwambia nn mchimbi naona wanaongea pale wanafiki wakubwa
kuwa makini ucje ukaishia kunyea debe uko verified user watakuja kukutafuta we fanya masihara na masuala nyetikama yule mtoto aliyebakwa na yule kada wa ccm aliweza kuverify unyama aliofanyiwa na acudo impact kapuya na sheria haikuchukua mkondo ndio hili la mvungi watachukua wakati ni moja ya ilani za ccm(kuuwa na kubaka)
CCM ni wabakaji full stop usitishie watu hapakuwa makini ucje ukaishia kunyea debe uko verified user watakuja kukutafuta we fanya masihara na masuala nyeti
Mkuu unapingana na chama chako cha Mapinduzi wanaosisitza muundo uliopo wa serikali mbili uendelee?Serikali tatu ndio dawa ya muungano
Namwona Mwigulu Nchemba naye yumo