Kuagiza Lorry kama spare kutoka nje ya nchi ili kupunguza makali ya Kodi

Kuagiza Lorry kama spare kutoka nje ya nchi ili kupunguza makali ya Kodi

Cainan

JF-Expert Member
Joined
Jun 14, 2017
Posts
477
Reaction score
572
Habari za jioni wakuu , nimeangalia kikokotoo Cha TRA kuhusiana na uagizwaji wa scania P420 8x4 skip loader ya 2011 na Kodi yake imekuja wa kutosha almost 82,000,000Tsh

Sasa nilikuwa Nauliza kwa wajuzi kuwa inawezekana ukaagiza gari ambayo ikatenganishwa cabin , engine na Chasis ili kuja kuunganisha huku na pia kwa upande wa Kodi inakuwaje

Na pia kama Kuna maelezo ya ziada kuhusu ilo itakuwa vizuri zaidi
Asanteni wakuu , nawatakia Pasaka njema
 
Habari za jioni wakuu , nimeangalia kikokotoo Cha TRA kuhusiana na uagizwaji wa scania P420 8x4 skip loader ya 2011 na Kodi yake imekuja wa kutosha almost 82,000,000Tsh

Sasa nilikuwa Nauliza kwa wajuzi kuwa inawezekana ukaagiza gari ambayo ikatenganishwa cabin , engine na Chasis ili kuja kuunganisha huku na pia kwa upande wa Kodi inakuwaje

Na pia kama Kuna maelezo ya ziada kuhusu ilo itakuwa vizuri zaidi
Asanteni wakuu , nawatakia Pasaka njema
Chasisi ndo gari utailipia sawa sawa na kodi ya gari, labda upate chasisi nyingine huku.
 
Chasisi ndo gari utailipia sawa sawa na kodi ya gari, labda upate chasisi nyingine huku.
chassis kama ikiwa peke yake inalipishwa kama spare tu, ila usije kajaribu kutenganisha chassis engine na cabin halafu vikaja kama mzigo wa pamoja, lazima utalipa kodi ya gari nzima.
By the way, kodi kwenye rigids body hasa hizo 8x4 ni kichaa, na usiombe iwe skip loader
 
Habari za jioni wakuu , nimeangalia kikokotoo Cha TRA kuhusiana na uagizwaji wa scania P420 8x4 skip loader ya 2011 na Kodi yake imekuja wa kutosha almost 82,000,000Tsh

Sasa nilikuwa Nauliza kwa wajuzi kuwa inawezekana ukaagiza gari ambayo ikatenganishwa cabin , engine na Chasis ili kuja kuunganisha huku na pia kwa upande wa Kodi inakuwaje

Na pia kama Kuna maelezo ya ziada kuhusu ilo itakuwa vizuri zaidi
Asanteni wakuu , nawatakia Pasaka njema
Fungua NGO, au taasisi inayodeal na elimu ,kilimo au afya. Ukishamaliza nunua gari na ifanye kuwa mali ya taasisi haulipi ushuru ndugu unaserereka. Kuna wanasheria wanakusaidia, ukienda tra ukiwambia unataka tax exemption certificate watakueleza. Kaizerege basi zake na magari yake ya kutembelea ni mali ya shule kwa hio hajalipa ushuru. Watu LC300 hawalipii kodi sembuse lori ndugu yangu changamka.
 
Fungua NGO, au taasisi inayodeal na elimu ,kilimo au afya. Ukishamaliza nunua gari na ifanye kuwa mali ya taasisi haulipi ushuru ndugu unaserereka. Kuna wanasheria wanakusaidia, ukienda tra ukiwambia unataka tax exemption certificate watakueleza. Kaizerege basi zake na magari yake ya kutembelea ni mali ya shule kwa hio hajalipa ushuru. Watu LC300 hawalipii kodi sembuse lori ndugu yangu changamka.
Dah!!
 
chassis kama ikiwa peke yake inalipishwa kama spare tu, ila usije kajaribu kutenganisha chassis engine na cabin halafu vikaja kama mzigo wa pamoja, lazima utalipa kodi ya gari nzima.
By the way, kodi kwenye rigids body hasa hizo 8x4 ni kichaa, na usiombe iwe skip loader
Asante mkuu nimekupata , makadirio ya Kodi mfano kwa Chasis tu , wanakadiria wenyewe au Kuna criteria maalum za kuzingatia?
 
Fungua NGO, au taasisi inayodeal na elimu ,kilimo au afya. Ukishamaliza nunua gari na ifanye kuwa mali ya taasisi haulipi ushuru ndugu unaserereka. Kuna wanasheria wanakusaidia, ukienda tra ukiwambia unataka tax exemption certificate watakueleza. Kaizerege basi zake na magari yake ya kutembelea ni mali ya shule kwa hio hajalipa ushuru. Watu LC300 hawalipii kodi sembuse lori ndugu yangu changamka.
Hii nimewahi kuiskia mkuu , Asante kwa kutukumbusha Tena
 
Fungua NGO, au taasisi inayodeal na elimu ,kilimo au afya. Ukishamaliza nunua gari na ifanye kuwa mali ya taasisi haulipi ushuru ndugu unaserereka. Kuna wanasheria wanakusaidia, ukienda tra ukiwambia unataka tax exemption certificate watakueleza. Kaizerege basi zake na magari yake ya kutembelea ni mali ya shule kwa hio hajalipa ushuru. Watu LC300 hawalipii kodi sembuse lori ndugu yangu changamka.
Duuuuh, kumbe kuna loophole hii
 
Duuuuh, kumbe kuna loophole hii
Hii ni uhakika kwa magari ya mizigo, matrekta, mabasi ya shule, ambulance n.k. Lakini kama ukiandika objective ya gari lako vizuri unaweza ukapitisha hadi LC 300 bila kodi 100%. Disadvantage ya hii, taasisi ikifilisika gari inachukuliwa na banki maana inakuwa ni mali ya taasisi na si mali yako binafsi.
 
Hii ni uhakika kwa magari ya mizigo, matrekta, mabasi ya shule, ambulance n.k. Lakini kama ukiandika objective ya gari lako vizuri unaweza ukapitisha hadi LC 300 bila kodi 100%. Disadvantage ya hii, taasisi ikifilisika gari inachukuliwa na banki maana inakuwa ni mali ya taasisi na si mali yako binafsi.
Ok , na kwenye kufanya transfer of ownership Badae inaleta shida au inakuwaje mkuu?
 
chassis kama ikiwa peke yake inalipishwa kama spare tu, ila usije kajaribu kutenganisha chassis engine na cabin halafu vikaja kama mzigo wa pamoja, lazima utalipa kodi ya gari nzima.
By the way, kodi kwenye rigids body hasa hizo 8x4 ni kichaa, na usiombe iwe skip loader
Chassis iwe yote na namba zake sidhani kama utalipia kama Spare mkuu fatilia vizuri hili naona watu wanakata vipande cha muhimu ndio wanabeba cha mbele au cha nyuma Chassis ni gari haiwezi Kuja skeleton harafu wakuache labda uichanganye kwenye mzigo isionekane wakiiona wanasema shusha lile gari lilipiwe kodi watu wameziacha sana hapo Songwe boda wakitoka nazo Malawi..
 
Chassis iwe yote na namba zake sidhani kama utalipia kama Spare mkuu fatilia vizuri hili naona watu wanakata vipande cha muhimu ndio wanabeba cha mbele au cha nyuma Chassis ni gari haiwezi Kuja skeleton harafu wakuache labda uichanganye kwenye mzigo isionekane wakiiona wanasema shusha lile gari lilipiwe kodi watu wameziacha sana hapo Songwe boda wakitoka nazo Malawi..
Nafikiri Anamaanisha Chasis ambayo imetolewa Cabin , Engine , Gearbox , Diff nk ipo yenyewe as a frame ,labda anisahihishe
 
Hii ni uhakika kwa magari ya mizigo, matrekta, mabasi ya shule, ambulance n.k. Lakini kama ukiandika objective ya gari lako vizuri unaweza ukapitisha hadi LC 300 bila kodi 100%. Disadvantage ya hii, taasisi ikifilisika gari inachukuliwa na banki maana inakuwa ni mali ya taasisi na si mali yako binafsi.
Banki inakujaje kuchukua mali za NGO?
Kama mimi ndiye mwanzilishi wa NGO, siwezi ku declare kifo cha taasisi.
Na hata ikitokea bankruptcy naweza kuhamisha mali zake kwenda organization nyingine.
 
Banki inakujaje kuchukua mali za NGO?
Kama mimi ndiye mwanzilishi wa NGO, siwezi ku declare kifo cha taasisi.
Na hata ikitokea bankruptcy naweza kuhamisha mali zake kwenda organization nyingine.
Kama ulikopa bank kwa kutumia jina la taasisi na mali za taasisi inabidi ziuzwe gari inakuwa sio mali yako. Hii nimeshuhudia kwenye mashule na mahospitali.
 
Back
Top Bottom