WomanOfSubstance
JF-Expert Member
- May 30, 2008
- 5,457
- 956
Aaaah wapi hii WOS hakuna kitu kama hicho eti mwanamke ajikite kulea familia na mabuzi ya nje amwachie nani na viserengeti boyz je?weweeeee....
Kwa nini wanawake wanawabambikia wanaume zao watoto?
Hivi hii ndiyo general rule siku hizi?
Ni kama kusema kuwa wanawake wote wana shida ya hela na hivyo hata wakiolewa bado wanasaka hizo noti kwa mabuzi.Viserengeti boys hivyo nadhani siyo big ishu kiivo kiasi cha kuonwa kama ni tatizo la kila mwanamke.
Kwamba wanaume wanasingiziwa watoto siku hizi kuna kipimo cha DNA - hivyo Fidel wala uskonde wala nini!