Nyamayao
JF-Expert Member
- Jan 22, 2009
- 6,966
- 2,350
Duh nyamayao pole mpenzi nadhani it was a shock of the year to you. Hawatabiriki hawa ila nasikia people say ni bora uolewe na mwanaume anayekupenda sana kupita unavyompenda wewe sijui kama ina ukweli. Maana wakijua unawapenda huota mapembe hawa (Inawezekana sio wote but hao walopita katika dunia yangu walikuwa hivi wote.
Naungana na Ally Choki na Nyota Ndogo- Nimeamua sitopenda tena, Kila nikipenda mwishowe naumia!!
swithati hakuna mapenzi yacyo na vikwazo mami, komaa na ulie nae tu coz ukisema huyu ana kukwaza kwa hivi yule atakuwaza zaidi yake, gangamala!
haa cku hizi jamaa ameishia kugawa mbegu mjini tu, anaishi na m/mke muda kadhaa wakipata mtoto anatoweka! anaishia kuniambia"wewe ndio mke wangu tu mana mpaka sasa cjapata m'mke wa kuoa"., namuona kama zuzu anaetaka kuzirai!...lol