J would fit better on that gap than M:A S tongue:
J would fit better on that gap than M:A S tongue:
..Kweli kabisa maana ukiangalia hata hivyo vipande vilivyobaki hawezi kukamilisha herufi ya mwisho...Ni kamtihani kwa muungwana!! I like this!!:A S-eek:Na pia yawezekana baadhi ya vipande anavyohitaji kumalizia kuunganisha herufi ya mwisho vimepotea; mfano kupendwa kwake na wana CCM alipoingia madarakani na hivi sasa haviko kwenye level moja!
...MI huwa ananimaliza anampomchora BM kazi inakuwa kwenye miguu eeh! Jamaa juu mkubwa kama nyumba chini vimiguu vidogooo utadhani penseli....Ila JK anamchora vizuuri sijui kwanini, angekuwa Sitta au Mkapa yangechorwa madumbwana maaakuuubwa ya ajabu!!! sijui bwana labda ni hisia zangu tu.....ila nahisi anamapenzi nae sana....