KOVA: Sheikh Ponda atakamatwa muda wowote

KOVA: Sheikh Ponda atakamatwa muda wowote

Hizo ni chuki zako binafsi na ukanisa ulio kukaa kichwani hivi mtu kuzungumza ukweli ana hatarisha amani uliambiwa nani uckilize au usome hilo gazeti
kweli wewe ni mlevi wa dini, ukweli gani wa kufanya watu waharibu makanisa? Mkuu uwe mzalendo kwa taifa!
 
ile filamu waliyoandamania imethibitisha hali halisi ya tabia ya hawa jamaa.
 
Ina maana MWANAHALISI NI GAZETI LA KIKIRISTO? Linamlikiwa na taasisi gani ya dini?

magazeti ya kikristo yote yanafahamika na ayana muda wa kuandika ujinga,moja ya gazeti la kikristo nalo lifahamu ni 'tumaini letu'Ushawahi kuona mwanahalisi limeandika habari za dini hata siku moja?Uwezo wako wakufikiri inaonesha ni mdogo sana.
 
Ningekupa like sema tu natumia simu
Naomba kujua ni vigezo gani vilivyotumika kulifungia gazeti la Mwanahilisi, na kuacha gazeti la Al-Nuur na Radio Iman? Kwa nia njema kabisa, naomba niseme, kama kweli rais Kikwete anataka kuipusha Taifa hili na balaa linalionyemelea basi atupie jicho radio imaan na gazeti la Al-Nuur.

Vipo vyombo vya habari vya madhehebu mengine, lakini sijawahi kusoma au kusikiliza watu wanahubiri chuki kama yanayoongelewa kwenye gazeti la Al-Nuur au Radio Iman. Tunakwenda wapi?
 
Wakuu!
Kama navyosomeka hapo juu kuhu shehk kikwete, pia amewataka wakristo wawe na subira huku uchunguzi zaidi ukiendelea kufanyika huku akisema kuna baadhi ya watu ambao tayari wamekishwa kamatwa.

My outlook :
unafiki ni uchawi.


Kikwete si mnafiki ila amegundua kuwa kikulacho ki nguoni.
Hawampendi hao, wanataka kumharibia
 
  • Thanks
Reactions: Ame
magazeti ya kikristo yote yanafahamika na ayana muda wa kuandika ujinga,moja ya gazeti la kikristo nalo lifahamu ni 'tumaini letu'Ushawahi kuona mwanahalisi limeandika habari za dini hata siku moja?Uwezo wako wakufikiri inaonesha ni mdogo sana.


Debe Shinda haliachi kutika. Hawana mada muhimu na za maana
 
Wana JF nadhani mwafahamu kuwa AMANI Imeletwa na UKRISTO so waacheni wanaojifanya wanamtetea MTUME wa mauji wizi vurugu fitna n.k kwani wao hawaelewi ila wajue nao wauao kwa upanga nao wakufa kwa upanga so wasubiri moto na MTUME WAO WA MAUAJI.
Nakuunga mkono kuwa kokote kwenye Uislamu ni umwagaji damu tu.Angalia Mali, Nigeria,Somalia, misri,libya,etc.Laana na siyo dini.
 
Naomba kujua ni vigezo gani vilivyotumika kulifungia gazeti la Mwanahilisi, na kuacha gazeti la Al-Nuur na Radio Iman? Kwa nia njema kabisa, naomba niseme, kama kweli rais Kikwete anataka kuipusha Taifa hili na balaa linalionyemelea basi atupie jicho radio imaan na gazeti la Al-Nuur.

Vipo vyombo vya habari vya madhehebu mengine, lakini sijawahi kusoma au kusikiliza watu wanahubiri chuki kama yanayoongelewa kwenye gazeti la Al-Nuur au Radio Iman. Tunakwenda wapi?

Nakuunga mkono wewe na Pia naunga mkono hoja ya MH Mbunge JOHN MNYIKA'JUU YA DHAIFU'
 
Unaweza kujibu kwa nini gazeti la
Mwanahalisi lilifungiwa na serikali na Annur linaachwa?
Wasemaje kuhusu maandamano yasiyo kibali ya CDM viongozi wao walikamatwa na kesi iko mahakamani Arusha wakati maandamano yasiyo na kibali ya Waislam Sept, Ponda hakuguswa?
Unaweza kusema kwa nini Mtikila anakamatwa na Ponda anaachwa?


Lakini mi niulize tena waziri wa habari aliyelifungia gazeti ni muislamu? Ubaya hauna ukristo ama uislamu...Wabaya wapo kote kwenye uislamu na ukristo..Acheni chuki zisizo na msingi..Tuwatafute hao wabaya wakristo na waislamu tuwaadhibu kama taifa..Mbona Nyerere aliweza? Kwanini leo tushindwe huku tukiwa na nguvu kiakili kuliko ilivyokuwa kwa Nyerere?
 
Unaweza kujibu kwa nini gazeti la
Mwanahalisi lilifungiwa na serikali na Annur linaachwa?
Wasemaje kuhusu maandamano yasiyo kibali ya CDM viongozi wao walikamatwa na kesi iko mahakamani Arusha wakati maandamano yasiyo na kibali ya Waislam Sept, Ponda hakuguswa?
Unaweza kusema kwa nini Mtikila anakamatwa na Ponda anaachwa?

Akikujibu kitu kitakachokuwa na mantiki kwa walio wengi naahidi kukupa kuku mwenye miguu mitatu
 
hata angekuwa Slaa kamwe acngeliweza kuzuia hilo na kama ikitokea kuzuia angekoma na vuguvugu la waislam.

kwani hii nchi inaongozwa kwa mavuguvugu au kwa mujibu wa kanuni,taratibu na sheria za nchi?mara nyingine jitahidi kuficha ujinga wako tafadhali.
 
Tembo n tembo hata kama akikonda hawezi kuwa ndama..,kwa hyo kwa kucho makanisa ndio nn mnafaidi nini.,,siku tukichachama sisi wakristo niny lazma mkimbie nchi na Dr Slaa ndo huyo Rais 2015
 
Wakristo tutaendelea kuwa watulivu na kusubiria kuona uwajibikaji wa serikali katika kuhakikisha usalama wa mali na haki ya kuishi dhidi ya magenge ya kigaidi. Lakini tunamhakikishia mh rais kuwa kunyamaza kwetu kuna mshindo mkuu kuliko kukimbilia matamko.
.
 
Wana JF nadhani mwafahamu kuwa AMANI Imeletwa na UKRISTO so waacheni wanaojifanya wanamtetea MTUME wa mauji wizi vurugu fitna n.k kwani wao hawaelewi ila wajue nao wauao kwa upanga nao wakufa kwa upanga so wasubiri moto na MTUME WAO WA MAUAJI.

hahahaaaaaaaaaaa. wanawezaje kuleta amani walioparaganyika kiimani? the fact ni kuwa hawana umoja wa kuilinda imani yao! wanasubiri msaada wa vypmbo vya dola.

upande wa pili issue ipo clear. Ni wapi Waislam walipowahi kuidhalilisha Biblia? aina ya pakee ya ustaarabu. ndio maana dar ikaitwa nyumba ya amani - Dar us Salaam. kwa kuwa asili yake ni mji wa waungwana.
 
Back
Top Bottom