KOVA: Sheikh Ponda atakamatwa muda wowote

KOVA: Sheikh Ponda atakamatwa muda wowote

Kamanda wa kanda maalum ya Dar es salaama Shehe Selaiman Kova amasema Shehe ponda atakamatwa muda wowote kuanzania sasa.

Akiongea na waandishi wa habari Kova amesema Shehe ponda amakuwa akichochea waumini wa dini yake kuandamana na kuleta vurugu, ameonywa mara kadhaa lakini hajaweza kutii sheria za nchi

Source:Kova

Update:.....................

Inawezekana ponda wanamuogopa inawezekana asikamatwe wala kuguswa

more to follow


Ndie huyo huyo aliyetangaza kugombea UBUNGE UBUNGO ?
 
hakuna anayeuchukia uislam bro! Waislam ndio wanaoharibu maana ya uislam. Inferiority complex ni tatizo sana. Wapelekeni vijana wenu wakapate elim dunia. Haya tunayoyaona ni madhara ya elim ahera na indoctrination

non sense.......hakuna elimu dunia wala akhera elimu ni moja tu
 
Kamanda wa kanda maalum ya Dar es salaama Shehe Selaiman Kova amasema Shehe ponda atakamatwa muda wowote kuanzania sasa.

Akiongea na waandishi wa habari Kova amesema Shehe ponda amakuwa akichochea waumini wa dini yake kuandamana na kuleta vurugu, ameonywa mara kadhaa lakini hajaweza kutii sheria za nchi

Source:Kova

Update:.....................

Inawezekana ponda wanamuogopa inawezekana asikamatwe wala kuguswa

more to follow

Mimi ninaomba tu serikali iyajenge yale makanisa yaliyo haribiwa ndipo waendelee na uongo wao wa kumkata amiri jeshi mkuu Pondwa
 
Hamna mtu anayeidhalilisha uislamu, tatizo ni nyinyi wenyewe kama msaafu umekojolewa, msichome makanisa bali jipangeni muongee na mungu ili matizo yenu yajulikane kwake
 
So sheria ifate mkondo

Jamani wana JF tusijidanganye nchi ni ya watu wa Imani zote,Waislam,wakristo na wale wasio na dini.
Wala hakuna mwenye haki zaidi ya mwingine,lakini pia ikumbukwe kuwa kuwa mkristo mzuri sio lazima uchukie kila jema analofanya Mwislam wa kuwa mwislam mzuri sio kupinga kila jema analofanya mkristo.

Kwa muono wangu nadhani yatupasa kujadili juu ya hatima ya amani ya inchi yetu kwa umakni sana bila kuburutwa na ushabiki wa itikadi zetu za kidini.

Lugha chafu zidi ya imani za wengine hazifai kabisa kutumiwa kwa sababu sio tiketi ya kuingia mbinguni ,sio Jesus wa Mtume muhamad ambaye aliwahi kutumia lugha hizo alafu tunasema sisi ni wafuasi wa hao mitume,tubadilike sasa, tunaelekea pabaya sana,kama kuna tatizo tutumie busara na elimu zetu kupata ufumbuzi.

Si tunasema sasa hivi watu wanaelimu kubwa kuliko wazee wetu? Basi tuitumie kusolve matatizo yanayotukabili.

Amani kwa wote.
 
na ole akamatwe kiongozi wa waislam, kitanuka, na tena bora sasa mkulu ni na makamanda ni wailam, subiri aje mkisto ikulu, halafu uchanganye haya mambo. msipime
tena hiki ni kikundi tu cha wahuni na wala sio waislam wote
[/QUOTE]
 
waislam wanatafutwa bado wametulia, hata watoto walibishana ukali wa quran, sio bibilia wakristu wanamadharau

mf kuhusish uislam na majini, wanajaribu kueleweshwa kuwa wale ni viumbe gani, wale washrikina wanaotumia maneno ya kiarabu kuwa

ndio uislam(tuachieni) dharau ndio chanzo cha vurugu ktk imani, ile vidio ya kumkashfu mtume ilipostiwa humu lkn waislm walikuwa na bado kimya, je mchokozi ni nani?????????
 
Mkamateni muone.hapo ndio mtajua ile takwimu ya tbc kama ni ya ukweli au ya uwongo,dsm yote itakuwa nyeupeee kwa vbaragashia na kanzu,nadhani hiyo ndiyo itakuwa siku ya ku declare that tz is the muslim country!!

Kudeclare Tanzania as Muslim county kuna athari gani kwangu ambaye sio muislam?
 
Kamanda wa kanda maalum ya
Dar es salaama Shehe Selaiman Kova amasema Shehe ponda atakamatwa muda
wowote kuanzania sasa.

Akiongea na waandishi wa habari Kova amesema Shehe ponda amakuwa
akichochea waumini wa dini yake kuandamana na kuleta vurugu, ameonywa
mara kadhaa lakini hajaweza kutii sheria za nchi

Source:Kova

Update:.....................

Inawezekana ponda wanamuogopa inawezekana asikamatwe wala kuguswa

more to follow

nchi imeparaganyika, wakati kova akisema hivi Jk anaona Ponda ni shujaa mno na tayari yeye na chama chake wamelaani kitendo cha huyo mtoto huyo eti kwa uzito sawa na kuchoma makanisa.
 
Use ya mind nt spinal cord,acha kujcfu ujinga,vta ya kdin haina mf interms of affects,ona mwanao,mamako,nk,watakuwa wap?
 
Nchi inaongozwa na muislamu je aoni haya yanayofanywa na waislamu wenzake. wamshike ponda shauri yao wamuache juu yao hatuathiliki kwa lolote.
 
c kweli udini mnautengeneza wenyewe suala la mtu kama ponda ambae anawafuasi wengi mno nyuma yake unapolijadili kwakumzodoa ponda unategemea nini kwa wafuasi wake,tumeshuhudia mara kadhaa akitajwa uibaya dr slaa wafuasi wake wanaleta matusi kwahiyo kabla ya kumnyoshea kidole mwenzako safisha wako kwanza.

Mkuu naona hujui kuwa aliyeutengezeza ni JK au unajua unajifanya huoni! alishasema kuwa tuponye makovu but yeye hajafanya hayo!
 
Update.....................

Mpaka sasa hivi mpango wa kumkamata Ponda umeshindikana
 
Kamanda wa kanda maalum ya Dar es salaama Shehe Selaiman Kova amasema Shehe ponda atakamatwa muda wowote kuanzania sasa.

Akiongea na waandishi wa habari Kova amesema Shehe ponda amakuwa akichochea waumini wa dini yake kuandamana na kuleta vurugu, ameonywa mara kadhaa lakini hajaweza kutii sheria za nchi
Ni masaa mangapi yamepita sasa tangia aseme hayo??? Je amekamatwa au bado??
Kamanda kova asipoeleza hatima ya TUME YA KUTEKWA KWA DR. ULIMBOKA ajue anaweza kufuta yote mazuri aliyoyafanya hata huko nyuma. Upolisi ni utumishi wa umma unaojumuisha vyama na dini zote, hauhitaji siasa

 
Huyu Sheikh Ponda ni nani hasa? Kova anasema amekuwa akionywa mara kwa mara lakini hatii sheria za Nchi na bado wamekuwa wanamtazama tu, sasa namimi naanza kuamini Serikali ni dhaifu katika kuchukua hatua mambo ya msingi, wamemnyamazia mpaka sasa amejiona yupo juu ya sheria.
Nikuulize Maaskofu walipotangaza damu itamwagika waislam wakipewa madai yao, kuna mtu alisema serikali dhaifu haijawakamata? hii ni kuonyesha serikali inajali na kuheshimu viongozi wa dini zote bila kubagua, ila tatizo ninaloona hapa akifanya kitu muislam kelele zinapigwa sana, lkn akifanya mukristo watu munakuwaga kimya sana sijui ni kwa maslahi ya nani hapa, tuweni makini kushabikia issue za kijinga, nchi ni yetu sote na moto ukiwaka tutaungua sote, kwa hiyo tuwe na busara ili moto usije waka ukatuunguza sote. maana haubagua ukiwaka.
 
Mpaka leo hajakamatwa tu au bado wana negotiate kwanza jinsi ya kuzuga??
 
Back
Top Bottom