KOVA: Sheikh Ponda atakamatwa muda wowote

KOVA: Sheikh Ponda atakamatwa muda wowote

Mkuu ...nashukuru kwa kuendelea kutoa elimu ya uraia, watu humu JF povu linawatoka wanataka Ponda akamatwe, kafanyaje mpaka akamatwe hawasemi.
Ritz, jipe muda wa kutakafari mwenendo wa nchi yetu. Kuna thread ilianzishwa humu; KUTOKAMATWA KWA PONDA NA KUFUNGIWA MWANAHALISI.
Kuna tofauti ya maandamano ya CDM Arusha na ya Ponda kwenda Mambo ya Ndani mwezi jana? Kuna tofauti ya kauli za uchochezi za Ponda na Mtikila?
CDM wana kesi, Mtikila keshakamatwa mara kadh
aa. Why not Ponda
 
Ritz, jipe muda wa kutakafari mwenendo wa nchi yetu. Kuna thread ilianzishwa humu; KUTOKAMATWA KWA PONDA NA KUFUNGIWA MWANAHALISI.
Kuna tofauti ya maandamano ya CDM Arusha na ya Ponda kwenda Mambo ya Ndani mwezi jana? Kuna tofauti ya kauli za uchochezi za Ponda na Mtikila?
CDM wana kesi, Mtikila keshakamatwa mara kadh
aa. Why not Ponda
Unajua haya mambo yanashangaza sana sijui kwanini MWANAHALISI
limefungiwa huku wachochezi wa Vurugu kama Sheikh PONDA na PADRE
Dr. SLAA Katibu mkuu wa CHADEMA wakiachwa. Inabindi hao wote wawili
wakamatwe na ikiwezekana wanyongwe.
 
bado mnajikanyaga kanyaga bado,swali je Kova ni shekh,..
Haya majibu yenu mepesi ndo yanapelekea musema kuwa mtu akikojolea Quraan atakufa ama kugeuka mjusi.
Watu wana kojolea na hawafi na wala hawageuki mijusi.
Sas sijui vitabu vyenu vya dini vinasema uongo ama huyo mungu wenu sio wa ukweli .
..
Mkuu, kwa nafasi alonayo Kova ni Shekhe (Mzee) pia. Tofauti na Wakristo, Mkusa huwezi kuitwa Mchungaji au Askofu maana hizo ni huduma.
Kuhusu Al kitaab, nawaachia wenye kitabu
 
mkuu unamatatizo makubwa sana ya udini!

c kweli udini mnautengeneza wenyewe suala la mtu kama ponda ambae anawafuasi wengi mno nyuma yake unapolijadili kwakumzodoa ponda unategemea nini kwa wafuasi wake,tumeshuhudia mara kadhaa akitajwa uibaya dr slaa wafuasi wake wanaleta matusi kwahiyo kabla ya kumnyoshea kidole mwenzako safisha wako kwanza.
 
Kila siku najiuliza kwa nini linapokuja suala la Waislam Pro-Chadema JF ndio wanakuwa wa kwanza kuwashambulia Waislam halafu hawa hawa wanataka Waislam waiunge mkono Chadema...hiyo itakuwa ni sawa sawa umkabidhi Nguruwe akuchomee mishikaki.

toa msimamo wako juu ya fujo zilizofanywa na waislam ka unaona ni sahihi au wrong coz no one is neutral in this issue badala ya kutoa general comment
 
kumkamata ponda ni sawa na kutupia njiti ya kibiriti kwenye petrol, ponda ndiye kiongozi wetu tutakufa nae.

Hakuna lolote huyo anakamatwa na nyinyi mnadhibitiwa tu hamna akili kabisa kila kitu mnakimbilia kuharibu makanisa kama jana mbagala nasikia walikunywa divai,wakala mikate,wakaiba jenereta na milango hapo kweli anatetewa Mungu? Ngoja maombi yafanyike muone kama hamjaaibika.
 
Unajua haya mambo yanashangaza sana sijui kwanini MWANAHALISI
limefungiwa huku wachochezi wa Vurugu kama Sheikh PONDA na PADRE
Dr. SLAA Katibu mkuu wa CHADEMA wakiachwa. Inabindi hao wote wawili
wakamatwe na ikiwezekana wanyongwe.

lakini utamuonea tu slaa.yeye licha ya kuchochea nchi istawalike lakini yeye lengo lake ni urais,akiupata ATATULIA.
Kuhusu PONDA...Oh sorry NO COMMENT.
 
Itakuwa sheikh ponda anafadhiliwa na kikwete jakaya mrisho kufanya uchochezi.............

haswa! Yani hawa jamaa ndo huwa tabia yao hasa pale wanapoona rais ni wa dini yao basi huwa wanaleta shida sana na ujinga wao.
Kumbuka wakati wanataka eti watu wasifuge nguruwe eti kisa kwao ni haramu, wao kwao kufuga nguruwe ni dhambi lakini kuuwa watu ama kutukana watu wa dini nyingine hasa wakristo.

Hawa wataona tu na kanzu zao zile kama tupo madina bhana... Aghaaa !
 
Wakuu!
Kama navyosomeka hapo juu kuhu shehk kikwete, pia amewataka wakristo wawe na subira huku uchunguzi zaidi ukiendelea kufanyika huku akisema kuna baadhi ya watu ambao tayari wamekishwa kamatwa.

My outlook :
unafiki ni uchawi.
 
Unajua haya mambo yanashangaza sana sijui kwanini MWANAHALISI
limefungiwa huku wachochezi wa Vurugu kama Sheikh PONDA na PADRE
Dr. SLAA Katibu mkuu wa CHADEMA wakiachwa. Inabindi hao wote wawili
wakamatwe na ikiwezekana wanyongwe.

Ndo maana IGP Mwema amepiga chini offer ya JK kumuongezea mkataba. Ni ngumu mno kufanya kazi na JK na Pinda, ni double standard tu, sheria zinageuzwa geuzwa kwa manufaa ya kisiasa.
Dk Magufuli angejiuzulu kikweli wakti ule nchi ingetengemaa
 
Naomba kujua ni vigezo gani vilivyotumika kulifungia gazeti la Mwanahilisi, na kuacha gazeti la Al-Nuur na Radio Iman? Kwa nia njema kabisa, naomba niseme, kama kweli rais Kikwete anataka kuipusha Taifa hili na balaa linalionyemelea basi atupie jicho radio imaan na gazeti la Al-Nuur.

Vipo vyombo vya habari vya madhehebu mengine, lakini sijawahi kusoma au kusikiliza watu wanahubiri chuki kama yanayoongelewa kwenye gazeti la Al-Nuur au Radio Iman. Tunakwenda wapi?
 
Alikuwa anasubiri nini asimkemee huyo shekh ponda miezi yote aliyokuwa anatoa vitisho.Na uchunguzi ni wa nini wakati inafahamika ni mtoto alikojolea msahafu au wanauchunguza mkojo ulitokana na kinywaji gani.
 
Wakuu!
Kama navyosomeka hapo juu kuhu shehk kikwete, pia amewataka wakristo wawe na subira huku uchunguzi zaidi ukiendelea kufanyika huku akisema kuna baadhi ya watu ambao tayari wamekishwa kamatwa.

My outlook :
unafiki ni uchawi.

Kikwete anafanya mzaha kama kawaida yake,Ponda na hiyo taasisi yake amewalea yeye na watawala wenzake. Hawezi jiondoa ktk matunda ya chuki na uchochezi ambao umeendelea muda mrefu ktk kipindi chake cha utawala,bila kuchukua hatua zozote.
 
Back
Top Bottom