Naomba kujua ni vigezo gani vilivyotumika kulifungia gazeti la Mwanahilisi, na kuacha gazeti la Al-Nuur na Radio Iman? Kwa nia njema kabisa, naomba niseme, kama kweli rais Kikwete anataka kuipusha Taifa hili na balaa linalionyemelea basi atupie jicho radio imaan na gazeti la Al-Nuur.
Vipo vyombo vya habari vya madhehebu mengine, lakini sijawahi kusoma au kusikiliza watu wanahubiri chuki kama yanayoongelewa kwenye gazeti la Al-Nuur au Radio Iman. Tunakwenda wapi?
Naomba kujua ni vigezo gani vilivyotumika kulifungia gazeti la Mwanahilisi, na kuacha gazeti la Al-Nuur na Radio Iman? Kwa nia njema kabisa, naomba niseme, kama kweli rais Kikwete anataka kuipusha Taifa hili na balaa linalionyemelea basi atupie jicho radio imaan na gazeti la Al-Nuur.
Vipo vyombo vya habari vya madhehebu mengine, lakini sijawahi kusoma au kusikiliza watu wanahubiri chuki kama yanayoongelewa kwenye gazeti la Al-Nuur au Radio Iman. Tunakwenda wapi?
Sidhani kama JK ana ubavu wa kufanya hivyo. RAIS DHAIFU!Wakuu!
Kama navyosomeka hapo juu kuhu shehk kikwete, pia amewataka wakristo wawe na subira huku uchunguzi zaidi ukiendelea kufanyika huku akisema kuna baadhi ya watu ambao tayari wamekishwa kamatwa.
My outlook :
unafiki ni uchawi.
si ndio aliyoyataka? mimi naona anatudanganya vile,iko siku atashangaa.Wakuu!
Kama navyosomeka hapo juu kuhu shehk kikwete, pia amewataka wakristo wawe na subira huku uchunguzi zaidi ukiendelea kufanyika huku akisema kuna baadhi ya watu ambao tayari wamekishwa kamatwa.
My outlook :
unafiki ni uchawi.
Aiseee babaangu kamshukia saa ngapi wakati jk anashinda angani kama popo
nimeipenda hii lazma nitakugongea like nikifika kwenye desktopAlikuwa anasubiri nini asimkemee huyo shekh ponda miezi yote aliyokuwa anatoa vitisho.Na uchunguzi ni wa nini wakati inafahamika ni mtoto alikojolea msahafu au wanauchunguza mkojo ulitokana na kinywaji gani.
Wakuu!
Kama navyosomeka hapo juu kuhu shehk kikwete, pia amewataka wakristo wawe na subira huku uchunguzi zaidi ukiendelea kufanyika huku akisema kuna baadhi ya watu ambao tayari wamekishwa kamatwa.
My outlook :
unafiki ni uchawi.
Vip Yule mtoto mwanasayansi ameshakuwa kichaa? Au nyie ndio mmekuwa vichaa kwa kuchoma makanisa na kuiba vifaa music na laptop za wachungaji. mgetuambia tungewanunulia laptop Kali siyo kuibaHizo ni chuki zako binafsi na ukanisa ulio kukaa kichwani hivi mtu kuzungumza ukweli ana hatarisha amani uliambiwa nani uckilize au usome hilo gazeti
Anaenda lini Oman?
Naomba kujua ni vigezo gani vilivyotumika kulifungia gazeti la Mwanahilisi, na kuacha gazeti la Al-Nuur na Radio Iman? Kwa nia njema kabisa, naomba niseme, kama kweli rais Kikwete anataka kuipusha Taifa hili na balaa linalionyemelea basi atupie jicho radio imaan na gazeti la Al-Nuur.
Vipo vyombo vya habari vya madhehebu mengine, lakini sijawahi kusoma au kusikiliza watu wanahubiri chuki kama yanayoongelewa kwenye gazeti la Al-Nuur au Radio Iman. Tunakwenda wapi?
Jk alikuwa mbagala jioni hii
Hizo ni chuki zako binafsi na ukanisa ulio kukaa kichwani hivi mtu kuzungumza ukweli ana hatarisha amani uliambiwa nani uckilize au usome hilo gazeti
Acheni chuki zenu!rais amefumbia macho mambo mangap?
Naomba kujua ni vigezo gani vilivyotumika kulifungia gazeti la Mwanahilisi, na kuacha gazeti la Al-Nuur na Radio Iman? Kwa nia njema kabisa, naomba niseme, kama kweli rais Kikwete anataka kuipusha Taifa hili na balaa linalionyemelea basi atupie jicho radio imaan na gazeti la Al-Nuur.
Vipo vyombo vya habari vya madhehebu mengine, lakini sijawahi kusoma au kusikiliza watu wanahubiri chuki kama yanayoongelewa kwenye gazeti la Al-Nuur au Radio Iman. Tunakwenda wapi?
Haendi Hijja sheikh Kikwete mwaka Huu !