Amebomoa ukuta pale Chang'ombe na kuvamia kiwanja cha YM wa Yanga jana. Pia leo amewapongeza wahuni waliofanya vurugu jana na kuahidi kwenda kuwatoa rumandeBado sijaona sababu ya kumkamata sheikh ponda! Kafanya kosa gani kipindi hiki hadi atake kukamatwa?
Nashindwa kukutofautisha na wale walioandamana jana kwa tukio lililotokea Jumatano, wakataarifiwa Ijumaa na wakandamana.Huo sio ukombozi ni upumbavu,uislam ni ushenzi.
bado mnajikanyaga kanyaga bado,swali je Kova ni shekh,..Sheikh ni title tu yenye heshima kwa yeyote mwenye heshima. Title hiyo ni sawa na kumuita Sir, kwa Kiswahili Sheikh ni Mzee.
Kwa hiyo utaona kuwa Ponda hana hadhi ya kuitwa Sheikh.
Kila siku najiuliza kwa nini linapokuja suala la Waislam Pro-Chadema JF ndio wanakuwa wa kwanza kuwashambulia Waislam halafu hawa hawa wanataka Waislam waiunge mkono Chadema...hiyo itakuwa ni sawa sawa umkabidhi Nguruwe akuchomee mishikaki.
Sijakuambia uniwekee list nimekuambia nitajie hao wasomi wenu ambao wapo serikalini toka enzi za Nyerere wamelisaidiaje taifa letu kutoka kwenye dimbwi la umasikini au kazi ya hao wasomi wenu waliojaa kila idara ya serikali na mashirika ya umma usomi wao ni kufisadi mali za nchi.
kwani mnaabudu yale makaratasi yaliyotengenezwa na kuchapishwa maandishi na mwanadamu? si huwa mnasemaga kolani mmeihifadhi vifuani mwenu? ya nini kuhangaika na makaratasi yanayooza wakati mnayo kolani ndani ya vifua vyenu?
Inabidi tujenge TAFAKARI ya kina,Kama tutamwona mtoto aliyekojolea msahafu kuwa anakosa huku tukimwacha aliyeanzisha hoja kuwa ukikojolea msahafu utageuka panya au nyoka,kwa mtizamo wangu tutakuwa hatujatenda haki.
Mtoto yule alikuwa anaamin kbs kuwa ukikojolea kitabu unageuka nyoka,akampa mwenzie
Msahafu ili akojolee ageuke nyoka!!!!!huyu mtoto ni wa kuonywa vikali yuko tayari
kuona mwenzake anakuwa panya!!! Ipo siku hata akiona sumu mwenzake ambaye hajui
Kama inaua akimbishia kuwa haiui anaweza kumpa anywe na matokeo yake ni kilio.
Nivyema akakinjwa angali mbichi Waalimu na wazazi wamwambie marufuku ya kujaribisha
kwa wenzake vitu vitakatifu na vya hatari.
Yule mwingine naye kadharika aambiwe marufuku ya kufanya practical ktk mambo ya ubishani kama hayo,asijiingize kwenye malumbano ambayo hayana afya.
Nikweli ni hatari sana kuhusianisha jambo lililofanywa na mtu mmoja ukabebesha taasisi
Nzima,lkn lililo wazi mkuu ni tofauti ya mafundisho pengine yanayotolewa na viongozi
ktk nyumba za Ibada ni vizuri watu wakafundishwa uvumilivu,kw wakristo wanafundishwa
Kuwa kiongozi Yesu Kristo alionewa lkn alinyenyekea na ndo mana ukristo ni uvumilivu.
Sijui kuhusu mtume S.W.A lakini pamoja na hayo najua kuhusu Mungu ambaye sote tunamwabudu yeye ni Mvumilivu huwaangazia jua wema na waovu,hata anawavumilia waovu watubu wasiangamie katika moto wa milele.
Na kuongezea hapo Jana nilimsikia Sheikh wa mkoa wa DSM akiesema uislam si wa visas
Mtu akikosea anatakiwa afundishwe Kama alivyofanya mtume.
Je watu walioshambulia makanisa wanaielewa dini au ni wahuni wanaojificha ktk kivuli cha dini?je niwaumini wanaofuata mkumbo?na huyo anayechochea anaajenda gani?
utaelewaje wakati unaendeshwa na mapepo...labda ningezungumza lugha yenu ya majini ndiyo ungenielewa...Sukuelewi, andika Kiswahili.
Labda jana hakuwepo wala kufanya chochote, lkn mwezi ulopita aliongoza maandamano 'haramu' hadi kwa Waziri, tunafahamu Wanasiasa wenye kesi za maandamano 'haramu' mahakamani. Amekuwa akitoa kauli za uchochezi mara nyingi lkn hajakamatwa, tunafahamu Mch Mtikila amekamatwa na kupelekwa mahakamani mara kadhaa.Bado sijaona sababu ya kumkamata sheikh ponda! Kafanya kosa gani kipindi hiki hadi atake kukamatwa?
Mkuu wangu nashukuru kwa kuendelea kutoa elimu ya uraia, watu humu JF povu linawatoka wanataka Ponda akamatwe, kafanyaje mpaka akamatwe hawasemi.
jamaa wanakera kunguni ana afadhali...hutawasikia wakipongezana kuhusu ujenzi wa shule au hospitali...wenyewe ni kupongezana kwa kufanya mambo ya kishenzi tu...ingekuwa China angekuwa ameshakamuliwa kinyesi, mshenzi kabisa huyu, kuna wenzake wanamhadhara huku mbezi juu wanamsifia sana,I HATE U RADICAL SATANS