KOVA: Sheikh Ponda atakamatwa muda wowote

KOVA: Sheikh Ponda atakamatwa muda wowote

Kila siku najiuliza kwa nini linapokuja suala la Waislam Pro-Chadema JF ndio wanakuwa wa kwanza kuwashambulia Waislam halafu hawa hawa wanataka Waislam waiunge mkono Chadema...hiyo itakuwa ni sawa sawa umkabidhi Nguruwe akuchomee mishikaki.

maoni yanatolewa na member wa jf na sio cdm! Tofautisha kabisa maoni ya mtu kama mwanacdm na mwanajf!
 
Nilitegemea awe lupango sasa hivi na mashitaka juu yake yameshaandaliwa mtu kwa makusudi anaamasisha uvunjifu wa amani eti serika;li yenye dhamana ya kulinda watu na mali zao inaleta stori za tumemuonya siku nyingi lakini amekuwa king'ang'anizi uho ni udhaifu wa hali ya juu usiomithilika.
Kama hivi ndivyo basi tutangazie rasmi kushindwa kwenu namkae pembeni wenye kuweza waachiwe majukumu yenu.
Hivi huyo Ponda yuko juu ya sheria.
 
yan hii serikali bana ni ya ajabu sana hv ingekuwa ni serikali ya nyerere au hata kipindi cha mkapa haya yangetokea hapa nchini? Hawa watu wamepewa uhuru wa ajabu sana mpaka shida sana
 
kumkamata ponda ni sawa na kutupia njiti ya kibiriti kwenye petrol, ponda ndiye kiongozi wetu tutakufa nae.


Unaweza kuitupia njiti ya kibiriti kwenye petrol na isilete madhara yoyote.
Madhara yatakuja pale utakapoitupia njiti ya kibiriti inayowaka kwenye mafuta ya petrol.

Usikurupuke
 
hahaha ahakamatwi mtu hapa. Hii ni geresha tu so wanamkamata halafu iweje? Si ndio watatuletea machafuko zaidi?

Naunga mkono hoja, kuna haja gani ya kutangaza, si wamkamate kama wana msuli huo!!!!!
 
Kila siku najiuliza kwa nini linapokuja suala la Waislam Pro-Chadema JF ndio wanakuwa wa kwanza kuwashambulia Waislam halafu hawa hawa wanataka Waislam waiunge mkono Chadema...hiyo itakuwa ni sawa sawa umkabidhi Nguruwe akuchomee mishikaki.

Ndugu yangu alhamdulilah umeliona hilo maana sijui uhusiano wa kuukojolea msahafu na sheikh ponda kukamatwa jee yy ndie alotuma watu waandamane alafu sijui waislamu watapata lini haki yao ndani ya nchii hii
 
Mfuasi wa Ponda lazima ana tatizo kubwa. Mtu ambaye hata Mufti Simba amesema hana elimu hata ya uislam anaongea nini kuhusu huo uislam?
 
Kila siku najiuliza kwa nini linapokuja suala la Waislam Pro-Chadema JF ndio wanakuwa wa kwanza kuwashambulia Waislam halafu hawa hawa wanataka Waislam waiunge mkono Chadema...hiyo itakuwa ni sawa sawa umkabidhi Nguruwe akuchomee mishikaki.

Mkuu inaonyesha ukomavu wa wana JF kwamba penye ukweli ni ukweli bila kujali imani ya mtu kidini au kisiasa. Nawapongeza wana JF.
 
Nilitegemea awe lupango sasa hivi na mashitaka juu yake yameshaandaliwa mtu kwa makusudi anaamasisha uvunjifu wa amani eti serika;li yenye dhamana ya kulinda watu na mali zao inaleta stori za tumemuonya siku nyingi lakini amekuwa king'ang'anizi uho ni udhaifu wa hali ya juu usiomithilika.
Kama hivi ndivyo basi tutangazie rasmi kushindwa kwenu namkae pembeni wenye kuweza waachiwe majukumu yenu.
Hivi huyo Ponda yuko juu ya sheria.

Nashangaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
kumkamata ponda ni sawa na kutupia njiti ya kibiriti kwenye petrol, ponda ndiye kiongozi wetu tutakufa nae.

LABDA KAMA UNATAKA TUAMINI KUWA SERIKALI HAKUNA, AU SERIKALI YA JK INAMUOGOPA PONDA AU UTUAMBIE PONDA NI JUU YA SHERIA.
Hiawezekani mtu mmoja kutuletea tafrani.SERKALI LAZIMA IWAJIBIKE KUWADHIBITI WAHARIBIFU WA AMANI MAANA NI WAHALIFU.
 
Kila siku najiuliza kwa nini linapokuja suala la Waislam Pro-Chadema JF ndio wanakuwa wa kwanza kuwashambulia Waislam halafu hawa hawa wanataka Waislam waiunge mkono Chadema...hiyo itakuwa ni sawa sawa umkabidhi Nguruwe akuchomee mishikaki.


Kwani CHADEMA ni kundi la kidini? au
kwani waislamu ni kundi la kisiasa?
sijui niulizeje
 
Nimerudi tena kutoa elimu ya uraia...Mnataka kumkamata Ponda kwa kosa gani? Ponda ndio alimtuma yule mtoto wa Kikiristo akakojolee Quran Mbagala? halafu Ponda aanzishe maandamano naomba jibu.
 
Nimerudi tena kutoa elimu ya uraia...Mnataka kumkamata Poda kwa kosa gani Ponda ndio alimtuma yule mtoto wa Kikiristo akakojolee Quran halafu Ponda aanzishe maandamano naomba jibu.

Hii ndo elimu ya Uraia? Utoto ndo unakusumbua hata kiswahili hujui
 
Kwani CHADEMA ni kundi la kidini? au
kwani waislamu ni kundi la kisiasa?
sijui niulizeje

Agggrrrr! Umerudi tena JF kudadaki si ulitangaza unaondoka JF ukaanzisha na uzi ukiaanga karibu tena.

Mkuu Chadema sio chama ni kikundi fulani kutoka Kaskazini kinatumia jina la chama kwa ajili ya maslahi ya binafsi.
 
Mimi hapa simwelewi kabisa kamanda Kova. Mtu anavunja sheria za nchi tena kosa la jinai - kuleta vurugu ndani ya nchi halafu anasema amemwonya mara kadhaa? Maana yake ni nini? Mbona wamachinga wanaohangaishwa mitaani huko hawaonywi mara kadhaa? Ponda ni nani hasa kwenye nchi hii? Kwanza imesemwa mara nyingi kwamba sio mtanzania, kwa nini hakuna chombo kinakanusha au kukubali jambo hili? Unajua kuendelea kunyamazia jambo hili kutainua watu wengine kwa upande wa pili wabaya kuliko ponda wenu siku moja msiyoijua. Kamanda Kova jua kwamba, mnakaa kwenye madaraka kwa muda mnaondoka wanakuja wengine nanyi mtarudi mtaani kuungana nasi. Huku mtaani tutatazamanaje? Ponda huyu mnayemlea leo kwa sababu zenuaidha za kidini au vinginevyo kwa kuwa mna ulinzi kila saa atakuja kuwadhuru kesho humu mtaani, kama si wewe ndugu zako au mali zako. Acheni kulea maradhi.
 
Nimerudi tena kutoa elimu ya uraia...Mnataka kumkamata Poda kwa kosa gani Ponda ndio alimtuma yule mtoto wa Kikiristo akakojolee Quran halafu Ponda aanzishe maandamano naomba jibu.

Muulize Kova.
 
Back
Top Bottom