Bila shaka Ritz amepata jibu, kwa niniHiyo pekee inadhihirisha kuwa dini kwa Mwenyeezi Mungu ni Uislaam pekee, wengine hao hawana dini.
Zomba na Ritz wanatajwa humu JF kuwa ni wadini.
Kila argument mnayotoa mnaitazama kwa mlengo wa Kiislam. Unfortunately Waislamu wengi wanatazama kwa mlengo huo, tukio la jana Mbagala ni udhihihirisho wa hoja yangu.