Elungata
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 40,343
- 33,503
ukiwa muslim ili kukuwekea luku ya mdomoni ndo wanakupa jina la mdini.hio yote ni strategy tu wanayotumia kuhalalisha ajenda yao.wao hawana mdini wako SAFI.
Last edited by a moderator:
Takbiiiiiiiiiir...!?
kumkamata ponda ni sawa na kutupia njiti ya kibiriti kwenye petrol, ponda ndiye kiongozi wetu tutakufa nae.
ha haa ha, mkuu hivi Tanzania nako kuna wasomi wa kujitapa? Ebu niambie huo usome wenu umelisaidiaje taifa letu au usomi wenu kazi yake ni kufisadi nchi.
Kila siku najiuliza kwa nini linapokuja suala la Waislam Pro-Chadema JF ndio wanakuwa wa kwanza kuwashambulia Waislam halafu hawa hawa wanataka Waislam waiunge mkono Chadema...hiyo itakuwa ni sawa sawa umkabidhi Nguruwe akuchomee mishikaki.
Naona umetoka kula mishkaki ya nguruwe
nilikuwa nakuona uko vzr kichwani ila leo nimekushusha kabisa!yaan na uelewa wako unaingiza u cdm hapa?over my dead body!halafu unasema umetoa elim ya uraia?ipi?...binafsi,nina marafiki waislam wanaojitambua tena wengi tu!ambao huwezi kuwakuta kwny mambo km hayo ya kipuuzi yanayohamasishwa na pond!....nilichogundua unapiga kampen ili waislam waichukie cdm,bahati nzuri wapo waislam wenye akili zao c za kushikiwa na ponda!....ss tunaanza kampen rasmi makanisani tuone nanzaidi c ndo unachotaka?
ukiwa muslim ili kukuwekea luku ya mdomoni ndo wanakupa jina la mdini.hio yote ni strategy tu wanayotumia kuhalalisha ajenda yao.wao hawana mdini wako SAFI.
Ponda anajifananisha na yule jamaa anaeitwa Zongo ambaye Kenya wamemalizana nae.Enzi za nyerere huyo saizi angekuwa kimbiji,anaubiria Tetere
Wanaotii sheria za nchi kama Mwangosi wliuawa kwa bomo bila kusita. Maskini Msoma magazeti wa Moro aliuawa na kitu kizito bila kosa. Huu asiyetii sheria za nchi mara kadhaa AMEONYWA tu!!! Hii ndo nini POLICCM?
Inabidi tujenge TAFAKARI ya kina,Kama tutamwona mtoto aliyekojolea msahafu kuwa anakosa huku tukimwacha aliyeanzisha hoja kuwa ukikojolea msahafu utageuka panya au nyoka,kwa mtizamo wangu tutakuwa hatujatenda haki.Mkuu wangu adolay,
Tatizo humu JF ukiwa muislam ndio unaitwa mdini lakini hakuna mkiristo mdini humu JF.
Mkuu Uislam ni dini ya amani mie binafsi sikubaliani na fujo zilitokea Mbagala kuchoma Kanisa kuaribu mali za watu, yule mtoto kweli kafanya makosa kwa kile kitendo lakini Waislam hawajafundishwa kuaribu mali za watu.
Tatizo kitendo kikifanywa na Muislam moja kikundi wanachanganywa Waislam wote pamoja ni Uislam sie tukitokeza kupinga hayo ndio tunaonekana wadini... Mkuu kuna Wachungaji Mashoga na wanaendesha ibada Makanisani lakini mie siwezi kuwachanganya Wakiristo wote ni makosa.
ha haa ha, mkuu hivi Tanzania nako kuna wasomi wa kujitapa? Ebu niambie huo usome wenu umelisaidiaje taifa letu au usomi wenu kazi yake ni kufisadi nchi.
1. Mchungaji Dk. Owdenburg Mdegela- Founder wa Tumaini University Iringa
2. Mchungaji Dk. Hance Mwakabana- Founder Tumaini University Dar es salaam
3. Mch. Askofu Kolowa- Founder Makumira University
4. Mchungaji Dk. Samson Mushemba- Founder Lutheran Junior Seminary Morogoro
5. Mchungaji Dk. Stephen Munga- Founder SEKUKO University
6. Professa Hubert Kairuki- Founder & Owner of Mikocheni University & Hospital
8. Mchungaji Dk. Buberwa- Founder of Josia Kibira University
9. Mchungaji Dk. Valentino Mokiwa- Founder Saint John's University
10.Mchungaji Dr.Israel Mwakyolile- Founder Tumaini University- Uyole Mbeya
Hawa hapaSijakuambia uniwekee list nimekuambia nitajie hao wasomi wenu ambao wapo serikalini toka enzi za Nyerere wamelisaidiaje taifa letu kutoka kwenye dimbwi la umasikini au kazi ya hao wasomi wenu waliojaa kila idara ya serikali na mashirika ya umma usomi wao ni kufisadi mali za nchi.
waislamu mbuzi kam ww na ponda ambao mnaleta machafuko nchini, safari hii wakristo hatutaleta tena ujinga wa kuchagua muislamu iwe chadema ama CCM kwani tumejua ni jinis gani mkivyo wajinga pale mnapogundua kuwa kiongozi wa juu ni dini yenu.
Pia hapa hakuna cha uchadema wala Uccm bali hapa ni lazima tuonganishe nguviu wakristo wa vyama vyote ktk kuwaondoa waislamu nyie wenye vurugu, kama unabisha subiria sasa uone jinsi siasa zitakazopigwa kanisani mpaka mtahamia maka na madina.
[/QUOTE]hatutohamia madina tutahamia kwa mama yako.