KOVA: Sheikh Ponda atakamatwa muda wowote

KOVA: Sheikh Ponda atakamatwa muda wowote

Kova kweli una mafunzo ya kazi yako? unatuambia sisi kuwa utamkamata Ponda muda sio mrefu sisi tufanye nini!!!unamuogopa Ponda! unahitaji msaada wetu au unataka kutuzuga?peleka upuuzi wako huko umeniudhi sana ebo.
 
Jina: Ponda issa Ponda Elimu😀arasa la saba(amehitimu kwa mbinde) Anapendelea:kucheza karate na fujo
 
sio waumin wote wa kiislamu wanamsikiliza na kumfuata shekhe ponda s'babu wanamjua vzur
 
Hali si shwari. Kuna kila dalili kuwa kila Ijumaa tutegemee tukio. Je, misikitini ni mahali pa kupanga mipango kama hiyo? Inaaminika misikitini ni mahali pa kumcha Mungu.
 
Kamanda wa kanda maalum ya Dar es salaama Shehe Selaiman Kova amasema Shehe ponda atakamatwa muda wowote kuanzania sasa.

Akiongea na waandishi wa habari Kova amesema Shehe ponda amakuwa akichochea waumini wa dini yake kuandamana na kuleta vurugu, ameonywa mara kadhaa lakini hajaweza kutii sheria za nchi

Source:Kova
Acha kudanganya watu KOVA,nchi hii mmeiharibu wakti wa kampeni zenu za mwaka 2010,sasa matatizo ndio haya,kwa mwana jf mwenye zile msg walizokuwa magamba wanatuma dhidi ya CDM aziweke hapa mapema!
 
Ndio maana mnataka mmpe mwanaheri kwa jinsi alivyo wasaidia pumbav kabisa kanaungua huko kalipo.
Ponda anajifananisha na yule jamaa anaeitwa Zongo ambaye Kenya wamemalizana nae.Enzi za nyerere huyo saizi angekuwa kimbiji,anaubiria Tetere
 
Kila siku najiuliza kwa nini linapokuja suala la Waislam Pro-Chadema JF ndio wanakuwa wa kwanza kuwashambulia Waislam halafu hawa hawa wanataka Waislam waiunge mkono Chadema...hiyo itakuwa ni sawa sawa umkabidhi Nguruwe akuchomee mishikaki.

Unafiki ni kansa mbaya kuliko kansa zote.

Hivi inakuwaje Ponda anapofanya mambo machafu, tunaambiwa siyo Waislamu wote, lkn anapobanwa na sheria, hao hao wanasema Uislamu unabughudhiwa. Tell me leo, Ponda mnamtambua au hamumtambui?

Hili suala la kuchochea vurugu za kidini lina Pro-Chadema na Anti-Chadema?

Kwa mfano yaliyotokea jana, ni waislamu au wahuni?
 
hatutaki kura za waislamu mbuzi kam ww na ponda ambao mnaleta machafuko nchini, safari hii wakristo hatutaleta tena ujinga wa kuchagua muislamu iwe chadema ama CCM kwani tumejua ni jinis gani mkivyo wajinga pale mnapogundua kuwa kiongozi wa juu ni dini yenu.
Pia hapa hakuna cha uchadema wala Uccm bali hapa ni lazima tuonganishe nguviu wakristo wa vyama vyote ktk kuwaondoa waislamu nyie wenye vurugu, kama unabisha subiria sasa uone jinsi siasa zitakazopigwa kanisani mpaka mtahamia maka na madina.
Heri yako mwaya kwani umefunguka na tumekusikia na ukereketwa wako wa kuchukia waislamu na uislamu wao.
 
Ni uoga tu mtu kama huyo wanamtengenezea ajali tu apoteeee haiwezekani atukoseshe usingizi na kutuharibia biashara na kazi zetu. Kumkamata ni ngumu kwani hawa watu wanaweza hata jilipua

Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
 

Ritz inabidi ukue sasa, sio sifa kila siku kuambiwa wewe ni kada wa ccm, hakuna siasa kwenye hili, mtu anatangaza hadharani kwamba hatofata sheria za nchi, anasifia vurugu na anatoa wito kwa waislam wengine kuiga kisha we unadhani kuna politics hapo?

tena hiki ni kikundi tu cha wahuni na wala sio waislam wote

Na aliesema nchi haitatawalika alifata sheria au yeye alikuwa na haki kusema?
 
Kamanda wa kanda maalum ya Dar es salaama Shehe Selaiman Kova amasema Shehe ponda atakamatwa muda wowote kuanzania sasa.

Akiongea na waandishi wa habari Kova amesema Shehe ponda amakuwa akichochea waumini wa dini yake kuandamana na kuleta vurugu, ameonywa mara kadhaa lakini hajaweza kutii sheria za nchi

Source:Kova

Hapa tumesema mara nyingi udini ni sumu lakini chama tawala kimefanya ndiyo mtaji. Tumewaambia Radio Imaan inahubiri chuki lakini badala ya kuwafungia, serikali inafungia Mwanahalisi linalosema ukweli. Kwa sasa nasikitika kusema ni too late.

Napongeza tu wakristo kwa uvumilivu wao. Lakini serikali ijue kila kitu kina mwisho. Huu uvumilivu ukifika mwisho serikali haitakuwa na la kufanya tena.
 
Back
Top Bottom