Kosa si kufanya kosa, bali kurudia kosa ndio kosa

sirluta

JF-Expert Member
Nov 28, 2012
6,325
2,486
Tumekubaliana mimi na mke wangu kuwa; mmoja wetu akirudia kosa mara mbili, mara ya tatu aandike maelezo yakae kwenye maandishi, na tuwe na file la pamoja la barua hizo kwani ushahidi wa maandishi ndio unafaa zaidi kuliko kupigana/kupigiana makelele.

Ndoa yetu ina miaka kadhaa.

Unatushaurije rafiki?
 
Kweli teknolojia imekuwa sasa, mnafanya kama Serikali ifanyavyo kazi kwa maandishi sio porojo tu.
 
Well mimi sio bingwa wakuishi na watu sanaaa, hususani ambao sio ndugu zangu wa damu, lakini from experience nakushauri POWER OF MARRIAGE LAYS ON BEING YOURSELF, MAKING MISTAKES, BEING VULNERABLE, FORGIVING THE UNFORGIVABLES! That is comitting to another persons bullshit!

Sasa kukiwa na faili hata mtu akisamehe ni vigumu kusahau! Na kama mtu hajasahau nikama hajasamehe tu! Hapomtakuwa mnaishi kwa ku out smart each other! Maana kama binadamu lazima mkosee sema focus itakuwa on not getting caught!:A S wink: Mnaishi sleeping with the enemy style! SOME RECORDS ARE NOT MENT TO BE KEPT AT ALL! Imagine umelibamba faili la wazazi wako, afu mdingi ndo anaongoza kwa kufailiwa claims na bi mkubwa! Hahaaa! Na claim zote kazisaini huwezi kumpa japo ka benefit of the doubt! Will your life as a kid be the same? I didnt think so too!

All these sentiments because i am going to church!!!! :A S wink::A S wink::A S wink:
 
Kila aitegemeaye kesho uyo Ana hakili kabisa kwa kuwa ajui ka atafika siku ya pili ama lah.........Kwa nini muifanye ndoa yenu itegemee makaratasi... Mnatakiwa kupendana... Ila then what mwenzio akikosea sana Mara kumi......utamwambia andika barua uresign ama......
 
Well said Lara1!

Well mimi sio bingwa wakuishi na watu sanaaa, hususani ambao sio ndugu zangu wa damu, lakini from experience nakushauri POWER OF MARRIAGE LAYS ON BEING YOURSELF, MAKING MISTAKES, BEING VULNERABLE, FORGIVING THE UNFORGIVABLES! That is comitting to another persons bullshit!

Sasa kukiwa na faili hata mtu akisamehe ni vigumu kusahau! Na kama mtu hajasahau nikama hajasamehe tu! Hapomtakuwa mnaishi kwa ku out smart each other! Maana kama binadamu lazima mkosee sema focus itakuwa on not getting caught!:A S wink: Mnaishi sleeping with the enemy style! SOME RECORDS ARE NOT MENT TO BE KEPT AT ALL! Imagine umelibamba faili la wazazi wako, afu mdingi ndo anaongoza kwa kufailiwa claims na bi mkubwa! Hahaaa! Na claim zote kazisaini huwezi kumpa japo ka benefit of the doubt! Will your life as a kid be the same? I didnt think so too!

All these sentiments because i am going to church!!!! :A S wink::A S wink::A S wink:
 
Well mimi sio bingwa wakuishi na watu sanaaa, hususani ambao sio ndugu zangu wa damu, lakini from experience nakushauri POWER OF MARRIAGE LAYS ON BEING YOURSELF, MAKING MISTAKES, BEING VULNERABLE, FORGIVING THE UNFORGIVABLES! That is comitting to another persons bullshit!

Sasa kukiwa na faili hata mtu akisamehe ni vigumu kusahau! Na kama mtu hajasahau nikama hajasamehe tu! Hapomtakuwa mnaishi kwa ku out smart each other! Maana kama binadamu lazima mkosee sema focus itakuwa on not getting caught!:A S wink: Mnaishi sleeping with the enemy style! SOME RECORDS ARE NOT MENT TO BE KEPT AT ALL! Imagine umelibamba faili la wazazi wako, afu mdingi ndo anaongoza kwa kufailiwa claims na bi mkubwa! Hahaaa! Na claim zote kazisaini huwezi kumpa japo ka benefit of the doubt! Will your life as a kid be the same? I didnt think so too!

All these sentiments because i am going to church!!!! :A S wink::A S wink::A S wink:

Mimi nakubaliana na wewe mkuu. Kuweka fail la makosa sidhani kama litasaidia ila linaweza likawatenganisha soon.

kitu kingine linaweza likamwondolea mmoja confidence hasa ambae amekamatwa ana mskosa na likamfanya mwingine kujihesabia haki sana. Tumeoana ili kile kilichopungua kwangu ukijazie .

kama Adam angekuwa amekamilika pasingekuwa na haja ya Eva. Ngoja nikupe siri ya kupunguza makosa kwani hayo yanawafanya muendelee kuwa mbali mbali.

Chora pembe tatu. juu andika A chini upande wa kushoto andika B na kulia upande wa chini andika C. Pale penye A pembeni yake andika Mungu. Kwenye B jiweke wewe na kwenye C mweke mwenzi wako.


Kisha chora mshale toka B kwenda A na toka C kwenda A utaona kama B na C wakiwa wanabidii ya kumtafuta A wanakuwa karibu sana sana sana. Lakini hebu chora msitari B kwenda C unaona huo umbali ? Kadri unavyojitahidi kumrekebisha mwenzi wako mpaka kumwekea fail la makosa ndo anazidi kwenda mbali.

Cha msingi msaidie amtangulize Mungu zaidi na wewe pia umtangulize Mungu kwa imani yenu na hamtaona haja ya fail

Muwe na fail la mapato na matumizi, muwe na mafail ya miradi lakini la makosa duuu hata Mungu anasema anaziondoa dhambi zetu na kuzipeleka mbali kama Kasikazini na kusini ambavyo hazitaweza kukutana.

Kibinadamu ni ngumu lakini hiyo ndo principle ya Mungu.


l
 
Tumekubaliana mimi na mke wangu kuwa; mmojawetu akirudia kosa mara mbili, mara ya tatu aandike maelezo yakae kwenye maandishi, na tuwe na file la pamoja la barua hizo kwani ushahidi wa maandishi ndio unafaa zaidi kuliko kupigana/kupigiana makelele. Ndoa ye2 ina miaka kadhaa.
Unatushaurije rafiki?

Kosa ni kosa na kurudia kosa ni makusudi.

Kosa la kwanza linabaki kuwa ni kosa tu hata ikiwa umelitenda bila kufahamu kuwa ni kosa. Sasa basi ukirudia kulitenda inakuwa ni makusudi mazima. Sikubakiani na wale wote wenye mtizamo km wako kuwa Kosa la kwanza si kosa, sasa kwanini unaliita kosa la kwanza kisha baadae unasema si kosa?

Nina wasiwasi na hiyo ndoa yenu yenye mfumo wa kamouni kutunza kumbumbuku ya mafaili. Mnatunza maovu yenu au makosa yenu ili iweje? Hamfiki mbali
 
Nimeipenda sana hiyo ni kweli tupu.
Mimi nakubaliana na wewe mkuu. Kuweka fail la makosa sidhani kama litasaidia ila linaweza likawatenganisha soon.

kitu kingine linaweza likamwondolea mmoja confidence hasa ambae amekamatwa ana mskosa na likamfanya mwingine kujihesabia haki sana. Tumeoana ili kile kilichopungua kwangu ukijazie .

kama Adam angekuwa amekamilika pasingekuwa na haja ya Eva. Ngoja nikupe siri ya kupunguza makosa kwani hayo yanawafanya muendelee kuwa mbali mbali.

Chora pembe tatu. juu andika A chini upande wa kushoto andika B na kulia upande wa chini andika C. Pale penye A pembeni yake andika Mungu. Kwenye B jiweke wewe na kwenye C mweke mwenzi wako.


Kisha chora mshale toka B kwenda A na toka C kwenda A utaona kama B na C wakiwa wanabidii ya kumtafuta A wanakuwa karibu sana sana sana. Lakini hebu chora msitari B kwenda C unaona huo umbali ? Kadri unavyojitahidi kumrekebisha mwenzi wako mpaka kumwekea fail la makosa ndo anazidi kwenda mbali.

Cha msingi msaidie amtangulize Mungu zaidi na wewe pia umtangulize Mungu kwa imani yenu na hamtaona haja ya fail

Muwe na fail la mapato na matumizi, muwe na mafail ya miradi lakini la makosa duuu hata Mungu anasema anaziondoa dhambi zetu na kuzipeleka mbali kama Kasikazini na kusini ambavyo hazitaweza kukutana.

Kibinadamu ni ngumu lakini hiyo ndo principle ya Mungu.


l
 
hivi mlilazimishwa au ilikuwaje...? na haya ndio matatizo ya kuoa mtu ambae si rafiki yako....
 
Well mimi sio bingwa wakuishi na watu sanaaa, hususani ambao sio ndugu zangu wa damu, lakini from experience nakushauri POWER OF MARRIAGE LAYS ON BEING YOURSELF, MAKING MISTAKES, BEING VULNERABLE, FORGIVING THE UNFORGIVABLES! That is comitting to another persons bullshit!

Sasa kukiwa na faili hata mtu akisamehe ni vigumu kusahau! Na kama mtu hajasahau nikama hajasamehe tu! Hapomtakuwa mnaishi kwa ku out smart each other! Maana kama binadamu lazima mkosee sema focus itakuwa on not getting caught!:A S wink: Mnaishi sleeping with the enemy style! SOME RECORDS ARE NOT MENT TO BE KEPT AT ALL! Imagine umelibamba faili la wazazi wako, afu mdingi ndo anaongoza kwa kufailiwa claims na bi mkubwa! Hahaaa! Na claim zote kazisaini huwezi kumpa japo ka benefit of the doubt! Will your life as a kid be the same? I didnt think so too!

All these sentiments because i am going to church!!!! :A S wink::A S wink::A S wink:

nadhani utakuwa umesharudi church na pia umetuombe. Umetoa mawazo mazuri ila kitu kama mmekubaliana kwa moyo mweupe, kutakuwa na shida? Maana nionavyo, ndiyo njia ya kumfanya mtu kuwa na ile hofu ya Mungu. Mfano m2 akitaka kuchepuka ataogopa maana ile document itamfanya aone itamshitaki hata mbele ya wazazi wake.
 
Kila aitegemeaye kesho uyo Ana hakili kabisa kwa kuwa ajui ka atafika siku ya pili ama lah.........Kwa nini muifanye ndoa yenu itegemee makaratasi... Mnatakiwa kupendana... Ila then what mwenzio akikosea sana Mara kumi......utamwambia andika barua uresign ama......

hakika. Akiandika barua mbili kwa kosa moja hapo hukumu ni halali yake maana itakuwa kama dharau.
 
Imekua Bunge la katibaa? sasa akirudia tena na tena na tenaaaaaaaaa kosa hilo hilo kwa mfumo dume inakuwaje anatoa faini au bado unaweka kwenye file mpaka lijae? au siku akikutibua ukilifungua na Talaka yake inakua tayari?
 
Back
Top Bottom