#Majanga
Katika kosa ambalo linajutia maishani mwangu ni kutumia $25,000/= sawa na Tshs 40,700,000/= kuhonga/kununulia mademu kwa muda miaka 4 yaani toka mwaka 2009 mpaka sasa, najitahidi sana nipone huu ugonjwa lakini naona bado unanisumbua.
Nisaidieni ushauri.
mmmh! kama unajitangaza vile kwamba wewe unazo na unajua kuhonga! sawa mkuu utapata PM za watafuta ngawira maana watu mna penetration strategies mbali mbali.