Kosa ninalojutia maishani mwangu!

Kosa ninalojutia maishani mwangu!

How did you arrived on the figure brother?Mkokotoa wako utawasaidia wengi hasa akifanya cummulative expenditure analysis kwa warembo kuanzia outing,airtime,shopping,birthday ceremonies,suprising gifts, vacations ,picnic etc.
Huo mzigo wa miaka minne ($25,000/4years=$6250 per year/12months=$520.83 per month/28days =$18.64/4hours you spent strongly with them=$4.65 per hour.

Na bado mimba ulizotoa gharama zake hujaweka..hahahahahahahah kwa miaka hiyo yote ungekuwa na mtoto tu na usingejuta

Mimi nimemark number mademu wote niliolala nao. Hakuna demu hata mmoja nililala naye sikumpa pesa. Na kila siku niliyotoka na demu nilitoka na pesa maalum ambayo ni mpaka yote iishe, so nilichofanya ni kuzidisha idadi na mademu mara pesa.
 
Mimi nimemark number mademu wote niliolala nao. Hakuna demu hata mmoja nililala naye sikumpa pesa. Na kila siku niliyotoka na demu nilitoka na pesa maalum ambayo ni mpaka yote iishe, so nilichofanya ni kuzidisha idadi na mademu mara pesa.

mmh umelala na mademu wangapi mpaka sasa!!!!!!

maana hiyo figure lol
 
mbona ndogo sana kwa miaka 4 mi kuna mtu alinilipia ada ya chuo kwa miaka mitatu,hela ya matumizi kwa miaka mitatu na mashoping yote akicmamia yy mimi pk angu ilomcost km million 40 na still nikamtosa apo cjui wenzangu walikula sh ngapi
Atakukumbuka sana...@Aggregates
 
Kwani Ulikuwa unatumia Condomu? Kama ulitumia condom unahaki ya kujutia vinginevyo ongeza speed tu kwani ukizeeka kabang na mini kabang huwezi tena waongezee madau tuu
 
Utawapata kwenye PM wapo humu kina dada wengi tu hadi kina mama wanaopenda kuhongwa.
 
Usiogope mdogo wangu kawaida2. Mbona una umia kuwapa totozy vijisenti? Ushauri wangu! Acha kuwatongoza ovyo. Ila tafuta mmoja mkweli na mwaminifu uoe nawewe uwe mwaminifu kwa mwenzio ili hivyo vidola ufanyie mashoping na matanuzi na wife. Hapo vipi!
 
Kwan Kuhonga Ufahar Enhee?sa C Bora Hyo Pesa Ungesaidia Yatima! Kuliko Kununua Moto Wa Jahannam
 
pesa ndogo sana hiyo kwa miaka minne, ulikuwa unawachukua wa buku mbili? changanua.
 
milioni 40.7 kwa miaka 4, ni sawa na milioni 10.2 hivi kwa mwaka au laki 9 tu kwa mwezi, ambayo ni tsh 30,000 kwa siku. Sasa. Hii ni hela mbuzi tu
Mimi sioni unachojutia hapa labda ungejutia matendo yako machafu na sio hela!
 
yan $ 25000 kwa miaka 4.ndio unajutia! ! umasikin kweli mbaya.hiyo mbona kidogo sana.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom