kiss ov love
JF-Expert Member
- Jan 21, 2025
- 9,363
- 16,095
- Thread starter
- #121
Nimeshatulia mkuuUngeweza kusababisha vita vya tatu vya wambaba wawili + wa mama watatu.
Punguza Dana Dana , tulia
Nimeshatulia mkuuUngeweza kusababisha vita vya tatu vya wambaba wawili + wa mama watatu.
Punguza Dana Dana , tulia
Siyo mke wake ni mdada tu wa mjini anaoanekana-unamuoneaje wivu mubaba?kama yule ni mke wake je?
Hii siyo chai mkuuChai hii ya moto
Mimi bado msichana kwasasa nimestaarabika sili vya watuUna miaka mingapi Binti Sayuni? Tuwaambie mara ngapi kwamba hakuna cha bure hapa duniani na hakuna urafiki wa hivi hivi tu kati ya mwanamke na mwanaume? Eti alikuwa anakuitaga tu anapotaka kampani haloooo!
Wewe kuwa na subra tu kila mmoja atapewa tuNjoo unipe Mimi 😎
huo ni uongoHaijapita mkuu, nilikuwa naizingua tu
Waungwana mmegoma danga lake hilo bint sayun 😹😹😹Ni lako kwann ukae na mbaba ambae sio wako
Hii version 2 ya da Mau 😹😹-unamuoneaje wivu mubaba?kama yule ni mke wake je?
Mweleweshe mwanao kwanini unamlea peke yako na baba yake yupo hai!Pole kama kiswahili huelewi lugha ya kigeni utaelewa?
Sawa mganga naona umepiga ramli umeonaMweleweshe mwanao kwanini unamlea peke yako na baba yake yupo hai!
Kweli mkuu kama huamini sawahuo ni uongo
Kweli mkuu kama huamini saaakhuo ni uongo
Kivipi tena mkuuUyo mzee inaonesha bado ana nafas ya kukupiga
Watu 😁😁😁🙌Waungwana mmegoma danga lake hilo bint sayun 😹😹😹
Dah😁😁 wote walikuwa kwenye process hakuna aliyefanikiwaHuyo mbaba ni bwana ako usitufanye watoto hapa.!! 😹😹😹
Kwanini alipokuuliza hukumpa taarifa za wewe kutoka ulimjibu huwa harespond msg zako?
Wewe unataka kuwapambanisha wababa wa watu wapigane sukari zipande waache wake zao wajane..!! 🤣
Labda ndotoniWewe kuwa na subra tu kila mmoja atapewa tu
Mimi sijui mkuuMwenye makosa hapo unajua mwenyewe