kiss ov love
JF-Expert Member
- Jan 21, 2025
- 9,363
- 16,095
- Thread starter
- #101
Wala sipendi mkuuBinti Sayuni unapenda sana Mizagamuano
Wala sipendi mkuuBinti Sayuni unapenda sana Mizagamuano
Wala siyo mimi huyo mimi ni mgeniIna maana hamjamjua tu huyu mtu. Inasemekan Mwaka jana alikuwa na threads nyingi mwishowe watu wakaruka nae. Kiungo mmoja hatari sana enzi zqke.
Nimeshaacha mkuuKomaa nae achana na pombe za wababa utaliwa kimasikhara
Li nani hilo, sijakutana nalo badoLi
Lipo linjemba moja humu linakuimbia pambio zote. Ulikutana nalo?
Hapana lakini nahisi ntaolewa mwakanikwanini utuletee mambo ya kitambo tujadili, saizi umeolewa?
Pole kama kiswahili huelewi lugha ya kigeni utaelewa?Aina ya single mother uliyevurugwa hata ulichoandika sijaelewa.
Ndiyo maana nikawaacha woteMubaba ni mume wa mtu Binti Sayuni, tafuta msaidizi wa kufanana nae.
Binti Sayuni usiyachochee mapenzi hata yatakapoona vyema.
Nilishawaacha wote mkuukumbe mubaba ni mume wa mtu? Binti sayuni yuko mbio sana
😢😢usiseme hivyo mkuu mimi nimetuliaooh halafu ataanza kutafuta mwanamume mwenye hofu ya Mungu wakati viungo vimeshalegea
Uongo tuCode iko wazi sana
Una miaka mingapi Binti Sayuni? Tuwaambie mara ngapi kwamba hakuna cha bure hapa duniani na hakuna urafiki wa hivi hivi tu kati ya mwanamke na mwanaume? Eti alikuwa anakuitaga tu anapotaka kampani haloooo!yule mbaba ambaye nilikaa nae mwanzo hakuwa mtu wangu alikuwa ananiitaga tu akiwa anataka kampani
Hamuachagi hadi mliweNimeshaacha mkuu
Siyo kweli mkuuHamuachagi hadi mliwe
Ndio ukweli uoSiyo kweli mkuu
Hapana haujatulia hata, mpaka mibaba imepita na wewe umetulia wapi sasa😢😢usiseme hivyo mkuu mimi nimetulia
Haijapita mkuu, nilikuwa naizingua tuHapana haujatulia hata, mpaka mibaba imepita na wewe umetulia wapi sasa