kiss ov love
JF-Expert Member
- Jan 21, 2025
- 9,363
- 16,095
- Thread starter
- #161
Ukiwa na kitambi tu mkuuIli mtu aitwe muvaba anatakiwa awe na miaka kuanzia mingapi?
Au na sisi wa early 30,s ni wababa?😆
Ukiwa na kitambi tu mkuuIli mtu aitwe muvaba anatakiwa awe na miaka kuanzia mingapi?
Au na sisi wa early 30,s ni wababa?😆
🤣🤣🤣🤣yaani hadi huwa nahisi ni mtu mmoja yaaniHii version 2 ya da Mau 😹😹
Humu kuna nyuzi za kadogoo, bint sayun na da mau lazima wanaume walaumiwe km sio pesa basi ni malaya..!!
😁😁😁💔
Nilikuwa bado sijamkataa alikuwa yupo kwenye process kuna vitu nilikuwa nasubiri anifanyie kwanza ndiyo tuanze mahusianoKuna rafiki yangu alinisimulia hivi.
Alikutana na mchepuko wake Lodge. Kila mchepuko akiwa anatoka kuchepuka. Mchepuko wa kiume (rafiki yangu) anatoka ndani na mwanamke, na mchepuko wa kike unatoka ndani na mwanaume. Hapo wote wamemaliza kutumika.
Mchepuko mwanaume akausalimia mchepuko wake, Mambo vipi? Mchepuko wa kike haukuitikia badala yake ulimzushia varangati mchepuko wa kiume inakuwaje anatoka na mwanamke mwimgine ilihali yeye yupo. Kuona hivyo yule mwanaume na mwanamke michepuko ya michepuko wakala kona. Mchepuko wa kike alimshushia maneno mbofumbofu huyo rafiki yangu, yeye kwa hekima akaamua kukaa kimya ila kuanzia siku hiyo alimwacha hata hajamtafuta wala kupokea simu zake sembuse sms kujibu. Ukawa mwisho.
Wanawake sometimes wanazijua wao akili zao.
Sasa wewe Binti sayuni03 unaona kabisa jamaa ana demu na wewe ulishamkataa halafu unamuuliza huyo nani? Shida ni nini? Nini kilikuwa kinakukereketa
Mimi naona yeye mbaba ndo anakosaHakuna Mwenye Kosa
Acha uongo😁😁Sijasoma mpka mwisho ila najua stori inahusu wewe kunyanduliwa
Ni Ubinafsi UmekuzidiMimi naona yeye mbaba ndo anakosa
Kwanini jamaniNi Ubinafsi Umekuzidi
Hata siwajui hao watu🤣🤣🤣🤣yaani hadi huwa nahisi ni mtu mmoja yaani
Hata mimi mwenyewe sielewi mkuuLife lipo speed sana mazee nchi inaelekea kua na wananchi vichaa wengi zaidi, hivi hata wewe ukisoma unaelewa kweli?
Itabidi serikali izuie chips kuku aiseeDUUH!... HIZI CHIPS KUKU ZINAHARIBU SANA DADA ZETU.
Duduz ni jina la ubatizo la mnyama hatari wa mwituniholoholo eti ndiyo chakula gani hicho kinaitwa Duduz?
Mh! Huyo mnyama mgeni au?Duduz ni jina la ubatizo la mnyama hatari wa mwituni
Asante sana mkuuPole sana mkuu