Kosa liko wapi kwenye picha hii??

Kosa liko wapi kwenye picha hii??

hahahaaaa Viol hujatulia wewe na mavazi yako yanatisha
thanks bhana ur comment is so gangster
maxresdefault.jpg
 
hahahahaaa shida ni je mtoto anamind hizi swaga?
kuna siku miss neddy aliniuliza.
Viol una hela?

nikampa mistari hiii

''hela ni uovu,ila hata mbwa akiona anabweka,
hela inatega hata niwe karatu naonekana califonia,
hela inanisaidia nifanye vitu ambavyo sijawahi kufanya mwanzoni'
hela innifanya nikiongea pumba nipendwe,
demu anaweza akajifanya amekununia na kuzima simu,
ataiwasha simu atafanyanje kama hana credit
 
Last edited by a moderator:
kuna siku miss neddy aliniuliza.
Viol una hela?

nikampa mistari hiii

''hela ni uovu,ila hata mbwa akiona anabweka,
hela inatega hata niwe karatu naonekana califonia,
hela inanisaidia nifanye vitu ambavyo sijawahi kufanya mwanzoni'
hela innifanya nikiongea pumba nipendwe,
demu anaweza akajifanya amekununia na kuzima simu,
ataiwasha simu atafanyanje kama hana credit

hahahahaaa subiri likes zangu nikibadili handset
 
Last edited by a moderator:
nguzo ya taa imefungwa ndani na mzunguko wa feni

Taa zipo mbali kabsa ww, umekula xmass ngapi kwanza hapa town? Au hujagusa hata jiji nn? Umensikitisha sana nguzo ya taaaaa? Duh
 
Back
Top Bottom