Kosa liko wapi kwenye picha hii??

Kosa liko wapi kwenye picha hii??

hebu mention jina lake maana mshana jr ni mshenga wangu,anatembea hata kwa miguu kona zote za vijijini

Hahaaha kaka subiri niongee na shemeji yako kwanza, akisema 'yes' basi kila kitu kitakua sawa
 
Last edited by a moderator:
Hahaaha kaka subiri niongee na shemeji yako kwanza, akisema 'yes' basi kila kitu kitakua sawa
kioo kioo,alikivunja nani?wa mwisho akamatwe,awekwe gerezani.
''shemeji yako nyumbani umemwambiaje?

nimemwambiaje???????????

'''kwahiyo hukumbuki??we umemwambia naumwa ugonjwa wa ukimwi umeniona wapi????

nimekuona unaenda angaza kupima,na dawa ukapewa''''


.......dawa gani?????????????

mitishamba.




Dr.Mjusu feat profesa kazi
 
Feni likiwashwa hali,halitozunguka. Nguzo ya projecta itazuia.
 
kioo kioo,alikivunja nani?wa mwisho akamatwe,awekwe gerezani.
''shemeji yako nyumbani umemwambiaje?

nimemwambiaje???????????

'''kwahiyo hukumbuki??we umemwambia naumwa ugonjwa wa ukimwi umeniona wapi????

nimekuona unaenda angaza kupima,na dawa ukapewa''''


.......dawa gani?????????????

mitishamba.




Dr.Mjusu feat profesa kazi

Haahhahaha
Cc miss neddy
 
Last edited by a moderator:
она моя жена, я просто хочу сказать, остановить его

lol! nimepata translation yake... (she's my wife , I just want to say , stop it...)

mkuu tumia french usimpoteze mpendwa wako... nazidi kujitoa ofcoz.. nimefuta thread kwa aibu kubwa sana kule CC!
Munkari jitoe kwenye tume ya usuluhishi...


Nilikusifu kwa uzuri na tabia njema miss neddy.... nikaamini ..dah!

Acha niendelee kuumia na mawazo... daily unazingua...

 
Last edited by a moderator:
hahahahaa utafiti ou etes vous? quelqu'un veat-il vole votre taux de sucre
Aisee we mwanamke mbaya wewe!

dah......

(hahahahaa UTAFITI or are you? VEAT someone he steals your sugar)

*Nimefuta thread niliyokuwa nimekwandikia malikia wangu...Bado nina upendo mzito sana kwako.. tatizo hukomi! Hivi nakunyima nini wewe? Munkari naomba ujitoe kwenye kamati ya usuluhishi...
utafiti kaomba msamaha wa kinafiki sana aisee!... unaongea hadi kirusi ku-claim kuwa miss neddy ni mkeo kwa Viol! lol..

see you! tomorrow is my 2n birthday... you are all three welcomed..*
 
Last edited by a moderator:
брат !! я уверен, что мы хороши друг, miss neddy моя жена

brother !! I am sure that we are good friend , miss neddy my wife

(you speak russian????... lol.. thank you google translator!)
Munkari where are you?

Huu usuluhishi naomba ukomee hapa, nilipanga kusamehe kwa mbwembwe sana lakini naona upande wa pili hauna mpango wa kusamehewa!
 
Last edited by a moderator:
брат !! я уверен, что мы хороши друг, miss neddy моя жена

!
!
hiki ni kikorintho au kithethalonike mkuu?
 
Last edited by a moderator:
Habari ya asubuhi?
Umeamkaje?

Niamkeje wakati unazurura na mke wangu?

hivi msamaha wa jana ulikuwa unamaanisha ni fake au?..
vous êtes grand frère ennemi .. Je ne crois pas ce que vous faites à ma reine.....


elle vous appelle sucre .. et vous venez vite ?


Je vous hais tellement frère .. savez-vous combien mon cœur brûle à cause de vous ?
 
Back
Top Bottom