Every answer is a correct answer, but not every answer is the right answer for a respective question.
As you propound on a particular issue, you need to leave no stone un-turned, with a proof beyond reasonable doubt.
Ndugu zangu, tusimshambulie mleta mada kwa matusi na maneno ya kejeli, hayo maswali yatatakiwa kupatiwa majibu wakati wa kesi...of course yanaweza kuibuliwa while trying to justify the validity of the killing.
Mtoa mada, nionavyo mimi anania nzuri tu ya kuwakumbusha waandishi wa habari kuvalia sare zao za kazi, japo kuwa sare sio kigezo cha wewe kuwa mwandishi.
Kama kuna mtu amepata kuangalia documentary za Witness za Aljazeera, kuna moja inaonesha jinsi waandishi wa habari walivyoshambuliwa na majeshi ya marekani nchini Iraq kwa kigezo cha kutokuwa na sare au rebo ya Press.
Jamani waandishi, ndio kifo cha mwenzetu kinasikitisha na kinaonekana ni cha kudhamiria, lakini tuipende na kuiheshimu kazi yetu, when it comes to attacks, no matter how prominent you are, they can kill you and come to justify later as a mistake of fact. Make reference to the death of Gen. Imran Kombe.
Narudia tena, mleta mada amewakumbusha kitu cha muhimu sana waandishi, kuwa ndani ya sare zetu za press wakati tukiwa kazini, tuzingatie hilo tafadhalini.
As you propound on a particular issue, you need to leave no stone un-turned, with a proof beyond reasonable doubt.
Ndugu zangu, tusimshambulie mleta mada kwa matusi na maneno ya kejeli, hayo maswali yatatakiwa kupatiwa majibu wakati wa kesi...of course yanaweza kuibuliwa while trying to justify the validity of the killing.
Mtoa mada, nionavyo mimi anania nzuri tu ya kuwakumbusha waandishi wa habari kuvalia sare zao za kazi, japo kuwa sare sio kigezo cha wewe kuwa mwandishi.
Kama kuna mtu amepata kuangalia documentary za Witness za Aljazeera, kuna moja inaonesha jinsi waandishi wa habari walivyoshambuliwa na majeshi ya marekani nchini Iraq kwa kigezo cha kutokuwa na sare au rebo ya Press.
Jamani waandishi, ndio kifo cha mwenzetu kinasikitisha na kinaonekana ni cha kudhamiria, lakini tuipende na kuiheshimu kazi yetu, when it comes to attacks, no matter how prominent you are, they can kill you and come to justify later as a mistake of fact. Make reference to the death of Gen. Imran Kombe.
Narudia tena, mleta mada amewakumbusha kitu cha muhimu sana waandishi, kuwa ndani ya sare zetu za press wakati tukiwa kazini, tuzingatie hilo tafadhalini.